RAIS KIKWETE ALIKABIDHI JESHI LA POLISI MAGARI MAPYA 399 KATI YA 777 YALIYOAGIZWA
![](http://api.ning.com:80/files/ann-lp8tGEn1zlOSgxpChpu2*XMdHOV2UDy8DVs*48RRW5gd0x5dKo2BWaYxnHqN15yt0fZsCEWVqb117-yMTGzyeapuykhh/p3.jpg?width=650)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi jana Jumanne Oktoba 21, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. PICHA NA…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Rais Kikwete alikabidhi Jeshi la Polisi magari mapya 399 kati ya 777 yaliyoagizwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi leo Jumanne Oktoba 20, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. (PICHA NA IKULU).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ybyW7jYjefg/ViaKEiFA1fI/AAAAAAAIBVc/lz_CR4tw_b8/s72-c/IMGL1332.jpg)
JK leo akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi magari 399 mapya kwa ajili ya kufanyia kazi kwa Jeshi la Polisi Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Mafunzo ya Polisi kilichopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam.
Makabidhiano hayo yalifanyika mbele ya Waziri wa Mambo ya ndani Mhe Mathias Chikawe Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu na maofisa mbalimbali wa jeshi hilo.IGP Mangu Alisema magari hayo 20 ni ya kutema maji ya kuwasha na...
10 years ago
GPLJESHI LA POLISI NCHINI LASHIRIKI KUZINDUA MAGARI MAPYA YA KAMPUNI YA ULINZI YA SECURITY GROUP AFRIKA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Jeshi la polisi nchini lashiriki kuzindua magari mapya ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Afrika Jijini Dar
Mwakilishi wa Mkuu wa Jeshi la polisi nchini Kamishina wa Polisi Mussa Ally Mussa akiwa na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu Philimon Mgaya akikata utepe wa kuashiria kuzindua magari mapya zaidi ya ishirini ya kampuni ya ulinzi ya Security Group Africa ambayo yataanza kutumika katika kazi mbalimbali za kampuni hiyo hivi karibuni.Katikati yao ni mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Eric Sambu.
Mwakilishi wa Mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa Polisi Mussa Ally Mussa akipokea msaada wa...
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI NCHINI LASHIRIKI UZINDUZI WA MAGARI MAPYA YA KAMPUNI YA ULINZI YA SECURITY GROUP AFRIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI NCHINI LASHIRIKI KUZINDUA MAGARI MAPYA YA KAMPUNI YA ULINZI YA SECURITY GROUP AFRIKA JIJINI DAR LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SmMY1ZsN6M0/ViaCK2AQwKI/AAAAAAAIBRY/rwV0gvwpUp8/s72-c/IMGL1310.jpg)
PICHA ZINGINE ZA RAIS KIKWETE ALIVYOKABIDHI MAGARI POLISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-SmMY1ZsN6M0/ViaCK2AQwKI/AAAAAAAIBRY/rwV0gvwpUp8/s640/IMGL1310.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JF_8uFTql4E/ViaB_AVz_yI/AAAAAAAIBRI/BGr1QpI4FLU/s640/IMGL1315.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmpv8q08kT0/ViaB-1Hl1RI/AAAAAAAIBRM/qNNnBdKoGxM/s640/IMGL1316.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-eeVv-iNM9kE/U-GMMTD6BdI/AAAAAAAAHQY/rZSqNYo77qs/s1600/dm68.jpg?width=650)
KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU KATI YA RAIS KIKWETE NA WATANZANIA, WASHINGTON DC
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Rais Kikwete ahadharisha Jeshi la Polisi