Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Omog kutua na kifaa kipya

Kocha wa Azam FC Joseph Omog. Na Mwandishi Wetu
AKIWA katika harakati za kutaka kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Azam, anatarajiwa kuongeza straika mmoja kutoka Cameroon ambaye atatua nchini pamoja na kocha Joseph Omog wiki ijayo kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Brian Umony. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kusajili wachezaji wawili wa kulipwa ambao ni Ismaila Diara kutoka Mali na Didier...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yaibua kifaa kipya mithili ya Kasuku si mwingine ni Ashura Kitenge, njoo leo umshuhudie LIVE Thai Village

DSC_0014

Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimkaribisha mdau wa bendi hiyo Miryam Kamaliza shot ya Tequila wakati wa show iliyobamba wakazi wa Dar Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki.

DSC_0017

Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimimina kinywaji cha Tequila kwa Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village.

DSC_0018

Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akipiga kilaji cha Tequila kupasha mwili joto kabla ya kupanda jukwaani, kinywaji hicho ni...

 

11 years ago

GPL

Omog: Mtibwa hawatoki Ijumaa

Kocha Mkuu wa Azam, Joseph Omog,Na Ibrahim Mussa TAMBO zinaendelea kuelekea pambano kali kati ya Azam na Mtibwa litakalopigwa Agosti 8 katika Tamasha la Usiku wa Matumaini, Uwanja wa Taifa, Dar. Safari hii Kocha Mkuu wa Azam, Joseph Omog, ametamba kwamba atahakikisha wanaisambaratisha Mtibwa siku hiyo. Azam wameendelea kufanya mazoezi makali chini ya kocha wake huyo raia wa Cameroon ambapo juzi Jumamosi walikuwa kwenye Ufukwe...

 

11 years ago

GPL

Omog aziponda Simba,Yanga

Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog. Na Said Ally
BAADA ya timu yake kuibuka mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ameziambia timu kongwe za Simba na Yanga zisitegemee tena kutwaa ubingwa huo, kwani hazina uwezo wa kupambana na kikosi chake. Omog ambaye alitua klabuni hapo katikati ya msimu kuchukua mikoba ya Stewart Hall, ameiwezesha Azam kuweka rekodi kwa mara ya kwanza kushinda taji hilo la ligi kuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Domayo amshtua Omog Azam

Azam FC imepiga bao faida ya kuwajali wachezaji wao baada ya kupona kiungo wao mkabaji, Frank Domayo ambaye sasa amerudi kwa kasi ya ajabu.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yamtupia virago Omog

Hatimaye Azam imemtimua kocha wake Mcameroon Joseph Omog ikiwa ni siku mbili baada ya kutolewa na El Merreikh ya Sudan kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

 

11 years ago

TheCitizen

Omog’s big plans as Azam arrive

>A day after sealing the Vodacom Premier League, Azam FC head coach Joseph Omog has his eyes set on making an impact at the next edition of the CAF’s African Champions League.

 

10 years ago

Mtanzania

Omog ataka mbili za majaribio kabla ya Yanga

Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog

Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog

NA ZAITUNI KIBWANA

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ametaka mechi mbili za majaribio kabla ya timu yake haijapambana na Yanga kwenye mechi ya Ngao ya Jamii.

Azam na Yanga zinatarajia kukutana Septemba 13, katika Uwanja wa Taifa kwenye mechi hiyo, inayoashiria kuanza kwa msimu mpya wa ligi.

Omog ambaye kwa sasa amerudi Dar es Salaam, baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Kagame alisema mechi hizo zitamsaidia kukiweka sawa kikosi chake.

“Alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC

Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Azam FC, Joseph Omog amewasilisha maombi matatu kwa uongozi wa timu hiyo yanayotakiwa kufanywa kwa haraka huku akisema hataki kambi ya nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani