Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Domayo amshtua Omog Azam

Azam FC imepiga bao faida ya kuwajali wachezaji wao baada ya kupona kiungo wao mkabaji, Frank Domayo ambaye sasa amerudi kwa kasi ya ajabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Azam yamtupia virago Omog

Hatimaye Azam imemtimua kocha wake Mcameroon Joseph Omog ikiwa ni siku mbili baada ya kutolewa na El Merreikh ya Sudan kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

 

11 years ago

TheCitizen

Omog’s big plans as Azam arrive

>A day after sealing the Vodacom Premier League, Azam FC head coach Joseph Omog has his eyes set on making an impact at the next edition of the CAF’s African Champions League.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC

Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Azam FC, Joseph Omog amewasilisha maombi matatu kwa uongozi wa timu hiyo yanayotakiwa kufanywa kwa haraka huku akisema hataki kambi ya nje ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yamng’oa Domayo Yanga

Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC wamepeleka pigo lingine kwa Yanga baada ya jana jioni kukamilisha rasmi usajili wa kiungo mkabaji Frank Domayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam

Timu za Yanga na Azam zitakosa huduma ya viungo wao mahiri katika mchezo baina yao, kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC

Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...

 

11 years ago

GPL

TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC

Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...

 

11 years ago

GPL

Omog kutua na kifaa kipya

Kocha wa Azam FC Joseph Omog. Na Mwandishi Wetu
AKIWA katika harakati za kutaka kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Azam, anatarajiwa kuongeza straika mmoja kutoka Cameroon ambaye atatua nchini pamoja na kocha Joseph Omog wiki ijayo kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Brian Umony. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kusajili wachezaji wawili wa kulipwa ambao ni Ismaila Diara kutoka Mali na Didier...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani