Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam
Timu za Yanga na Azam zitakosa huduma ya viungo wao mahiri katika mchezo baina yao, kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
Azam yamng’oa Domayo Yanga
Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC wamepeleka pigo lingine kwa Yanga baada ya jana jioni kukamilisha rasmi usajili wa kiungo mkabaji Frank Domayo.
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Domayo amshtua Omog Azam
Azam FC imepiga bao faida ya kuwajali wachezaji wao baada ya kupona kiungo wao mkabaji, Frank Domayo ambaye sasa amerudi kwa kasi ya ajabu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpGx9JpJ7m7KyRErXfInaUu7cAB9B0uXK3vw3fy8sWXD0kVR0RQWoHP8mPPEWWJbOKswZTIH8-xffeSCQxdE07GZ/domayo.jpg?width=650)
KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC
Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzOyOj2djRSEE2oZzIj4n*JOWTicpHK33T21sdh6whEGy0I2F-efFIhpeei*qtEEi6NiYlt2O74parj8X50TlzW/domayo.jpg?width=650)
TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC
Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Azam FC yamfuata Niyonzima
Uongozi wa Azam umemfungulia milango kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, huku ukipanga kumfukuza Mhaiti Leonel Saint-Preux aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu kama ilivyotegemewa.
10 years ago
GPLDomayo naye anukia Yanga
Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo. Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
BAADA ya kuelezwa kuwa straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu yupo mbioni kurejea kwenye kikosi cha Yanga, habari nyingine ni kuwa kiungo wa Azam FC, Frank Domayo, naye anadaiwa kuwa kwenye njia ya kurejea kurudi katika klabu yake hiyo ya zamani. Domayo ambaye alijiunga na Azam mwanzoni wa msimu huu akitokea Yanga, inadaiwa kuwa amekuwa katika hali tata ya kutokuwa...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Domayo, Mosoti pengo Yanga, Simba
Mapengo ya Frank Domayo kwa Yanga na Donald Mosoti kwa Simba yameonekana dhahiri mwishoni mwa wiki baada ya timu hizo kuanza vibaya Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima believes his team now has the firepower to mount a sustained assault on the Vodacom Premier League title.
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania