Azam FC yamfuata Niyonzima
Uongozi wa Azam umemfungulia milango kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, huku ukipanga kumfukuza Mhaiti Leonel Saint-Preux aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu kama ilivyotegemewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam
9 years ago
Habarileo18 Dec
Niyonzima asimamishwa
UONGOZI wa Yanga umemsimamisha kiungo wake Haruna Niyonzima kwa muda usiojulikana. Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda alichelewa kuungana na wenziwe baada ya kutoka mapumziko bila kutoa taarifa zozote mpaka juzi aliporudi akiwa amefunga bandeji ngumu (P.O.P) mguuni kwa madai aliumia kwenye michuano ya Kombe la Chalenji Ethiopia alipokuwa akiichezea timu yake ya taifa.
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
10 years ago
TheCitizen14 Jun
We want to tame the Mambas, says Niyonzima
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Fifa kumwokoa Niyonzima
11 years ago
TheCitizen27 Jul
We still have a chance, says skipper Niyonzima
9 years ago
Habarileo29 Dec
Niyonzima kwaheri Yanga
KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Tambwe, Niyonzima ‘wazuiwa’ Botswana