Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC yamfuata Niyonzima

Uongozi wa Azam umemfungulia milango kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, huku ukipanga kumfukuza Mhaiti Leonel Saint-Preux aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu kama ilivyotegemewa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam

Timu za Yanga na Azam zitakosa huduma ya viungo wao mahiri katika mchezo baina yao, kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima asimamishwa

UONGOZI wa Yanga umemsimamisha kiungo wake Haruna Niyonzima kwa muda usiojulikana. Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda alichelewa kuungana na wenziwe baada ya kutoka mapumziko bila kutoa taarifa zozote mpaka juzi aliporudi akiwa amefunga bandeji ngumu (P.O.P) mguuni kwa madai aliumia kwenye michuano ya Kombe la Chalenji Ethiopia alipokuwa akiichezea timu yake ya taifa.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima aichefua Yanga

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga stronger than ever, says Niyonzima

Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima believes his team now has the firepower to mount a sustained assault on the Vodacom Premier League title.

 

10 years ago

TheCitizen

We want to tame the Mambas, says Niyonzima

Amavubi Stars captain Haruna Niyonzima says that the team’s main target is to keep a clean sheet against Mozambique in their opening Group H game of the 2017 Africa Cup of Nations qualifying campaign at the Estadio Nacional Zimpeto in Maputo today.

 

9 years ago

Mwananchi

Fifa kumwokoa Niyonzima

Sakata la kuvunjwa kwa mkataba wa kiungo Haruna Niyonzima na klabu yake, Yanga limechukua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), mchezaji huyo anaruhusiwa kujiunga na timu yoyote na kuendelea kuitumikia kipindi hiki licha ya dirisha la usajili kufungwa.

 

11 years ago

TheCitizen

We still have a chance, says skipper Niyonzima

Amavubi Stars captain Haruna Niyonzima is upbeat ahead of the return leg against Congo Brazzaville though he was left disappointed after his side lost 2-0 in the first leg of the 2015 Africa Cup of Nations qualifier in Pointe-Noire last weekend. 

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe, Niyonzima ‘wazuiwa’ Botswana

Andrey Coutinho ana bahati, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Amissi Tambwe, Kpah Sherman, Haruna Niyonzima na Mbuyu Twite kuzuiwa kwa saa moja kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Seretse Khama, mjini Gaborone, Botswana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani