Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fifa kumwokoa Niyonzima

Sakata la kuvunjwa kwa mkataba wa kiungo Haruna Niyonzima na klabu yake, Yanga limechukua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), mchezaji huyo anaruhusiwa kujiunga na timu yoyote na kuendelea kuitumikia kipindi hiki licha ya dirisha la usajili kufungwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Tulipanga kumwokoa Somers

Marekani imesema ilijaribu kumwokoa raia wake Luke Somers, anayeshikiliwa mateka na al-Qaeda nchini Yemen.

 

11 years ago

Habarileo

JK apuuza madai ya kumwokoa Ridhiwani nchini China

Ridhiwani KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema madai kuwa yeye alishiriki kumwokoa mtoto wake, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, baada ya kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi, ni mkusanyiko wa upuuzi mtupu.

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish  GIVEMESPORTFnatic Tekkz explains why “no one” is enjoying FIFA 20  DexertoWorld's Best FIFA Player Says 'No-One Enjoys Playing FIFA 20' In Brutally Honest Interview  SPORTbibleView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima asimamishwa

UONGOZI wa Yanga umemsimamisha kiungo wake Haruna Niyonzima kwa muda usiojulikana. Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda alichelewa kuungana na wenziwe baada ya kutoka mapumziko bila kutoa taarifa zozote mpaka juzi aliporudi akiwa amefunga bandeji ngumu (P.O.P) mguuni kwa madai aliumia kwenye michuano ya Kombe la Chalenji Ethiopia alipokuwa akiichezea timu yake ya taifa.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima aichefua Yanga

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.

 

10 years ago

TheCitizen

We want to tame the Mambas, says Niyonzima

Amavubi Stars captain Haruna Niyonzima says that the team’s main target is to keep a clean sheet against Mozambique in their opening Group H game of the 2017 Africa Cup of Nations qualifying campaign at the Estadio Nacional Zimpeto in Maputo today.

 

11 years ago

TheCitizen

We still have a chance, says skipper Niyonzima

Amavubi Stars captain Haruna Niyonzima is upbeat ahead of the return leg against Congo Brazzaville though he was left disappointed after his side lost 2-0 in the first leg of the 2015 Africa Cup of Nations qualifier in Pointe-Noire last weekend. 

 

10 years ago

Mwananchi

Azam FC yamfuata Niyonzima

Uongozi wa Azam umemfungulia milango kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, huku ukipanga kumfukuza Mhaiti Leonel Saint-Preux aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu kama ilivyotegemewa.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani