KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpGx9JpJ7m7KyRErXfInaUu7cAB9B0uXK3vw3fy8sWXD0kVR0RQWoHP8mPPEWWJbOKswZTIH8-xffeSCQxdE07GZ/domayo.jpg?width=650)
Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDomayo naye anukia Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBpb1nD*k6CjNPU-yZCpX2h76ZZFwjzEta3T2S9j5nQ1EPYF55TOgpmgyu-tqSCr6d46F0Ehy419*r9TKG3JUDm/DOMAYOO.gif?width=650)
Mrithi wa Domayo atua leo mchana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kiungo Mzimbabwe atua Simba
KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqJnOXGG2KEkeNvR-jrTbT5vqmPvHfZoCtQe*dm5YQ*bBL4dpMOSY141Df3WPpKFyBRsbgqkv4QHAbvOYrFMFbG/BREAKINGNEWS.gif)
KIUNGO EMERSON DE OLIVEIRA ATUA BONGO
11 years ago
Mwananchi01 May
Azam yamng’oa Domayo Yanga
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Domayo amshtua Omog Azam
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzOyOj2djRSEE2oZzIj4n*JOWTicpHK33T21sdh6whEGy0I2F-efFIhpeei*qtEEi6NiYlt2O74parj8X50TlzW/domayo.jpg?width=650)
TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnKStB*nvbYKLsnm1tIW1K2RjQqivZYbqOnJQFXqoIp0PKgaRwBhb5qL1vbmQlPJkqD*cLRcxmG*BTvCAyxibmNC/KIUNGOAZAM.jpg?width=650)
Kiungo wa Azam arudishwa India