Mrithi wa Domayo atua leo mchana
![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBpb1nD*k6CjNPU-yZCpX2h76ZZFwjzEta3T2S9j5nQ1EPYF55TOgpmgyu-tqSCr6d46F0Ehy419*r9TKG3JUDm/DOMAYOO.gif?width=650)
Frank Domayo aliyetimkia Azam FC. Na Sweebert Lukonge KIUNGO wa Yanga, Omega Seme, aliyerudishwa hivi karibuni katika klabu hiyo akitokea Prisons ya jijini Mbeya alikokuwa akicheza soka kwa mkopo, anatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo. Inaelezwa kuwa kiungo huyo atakwenda klabuni moja kwa moja na jukumu kubwa atakalopewa ni kuziba pengo lililoachwa na Frank Domayo aliyetimkia Azam FC. Hivi karibuni, Domayo ambaye alikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
T.I ATUA DAR MCHANA WA LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yg-RG97nS*tXZmndo5KfgwiXwtxq3StkrVxuPNpZDPZMhkGOUPo1OyDkcciqo6DHV6oGu20T2W6OQE4k6xx607u/1.gif?width=650)
Mrithi wa Domayo ni huyu Mghana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpGx9JpJ7m7KyRErXfInaUu7cAB9B0uXK3vw3fy8sWXD0kVR0RQWoHP8mPPEWWJbOKswZTIH8-xffeSCQxdE07GZ/domayo.jpg?width=650)
KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Rage kupata mrithi leo
KLABU ya Simba leo inakwenda kupata safu mpya ya uongozi utakaodumu madarakani kwa kipindi cha miaka minne ijayo, ukipokea zamu kutoka kwa uongozi uliokuwa chini ya Alhaji Ismail Aden Rage,...
11 years ago
Habarileo22 Jul
Mrithi wa Laizer KKKT kujulikana leo
HATIMA ya kinyang’anyiro cha kumpata mrithi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk Thomas Laizer aliyefariki mapema mwaka huu, inajulikana leo.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Y4StZR2b4/U84CTOZOyeI/AAAAAAAABaI/_SFi62ZgdMg/s72-c/laizer-1.jpg)
Mrithi wa Askofu Laizer kujulikana leo
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
ASKOFU mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, anatarajwa kupatikana leo katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Dayosisi hiyo utakaohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 300.
Wajumbe hao watakaokutana katika Shule ya Sekondari ya Peace House, Matevesi, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha, watamchagua kiongozi atakayechukua nafasi ya Dk. Thomas Laizer, aliyefariki dunia Februari 6, mwaka jana.
Kwa sasa, nafasi hiyo inakaimiwa na Mchungaji...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mrithi wa Filikunjombe CCM kupatikana leo
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Mrithi wa Nangole CCM Arusha kuanza kusakwa leo