Mrithi wa Domayo ni huyu Mghana
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yg-RG97nS*tXZmndo5KfgwiXwtxq3StkrVxuPNpZDPZMhkGOUPo1OyDkcciqo6DHV6oGu20T2W6OQE4k6xx607u/1.gif?width=650)
Frank Domayo. Na Martha Mboma PAMOJA na kuondoka, kwenda nchini Saudi Arabia, Kocha Hans van Der Pluijm ameanza mazungumzo na kiungo, Joseph Tetteh Zutah wa Medeama SC ya Ghana kuziba pengo lililoachwa na Frank Domayo. Kabla ya kuchukua uamuzi wa kuondoka Yanga na kujiunga na Al Shoala ya Saudi Arabia tayari Pluijm alimpendekeza Zutta kuchukua nafasi ya Domayo ambaye alisisitiza amekuwa havutiwi na uchezaji...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBpb1nD*k6CjNPU-yZCpX2h76ZZFwjzEta3T2S9j5nQ1EPYF55TOgpmgyu-tqSCr6d46F0Ehy419*r9TKG3JUDm/DOMAYOO.gif?width=650)
Mrithi wa Domayo atua leo mchana
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Mghana adai kumroga Ronaldo
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
FIFA yaafiki marufuku ya mGhana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ve0GOSCWJah-eT2cUuhmkjZYLf7BErsIjEl86VCu37o5lbpgTaEGn1FTPXQt0bP3tgZ8*7YYY0visSHVAAJVQlE9z7bBZYTm/GHGFDFGG.jpg)
Mghana mpya Simba noma sana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRgcXaWxXwKicx5PMGBYfoEmNYYnsdrHTn*074EjzteGGiuzse*y0kUYBAJu5Esnv3a8hJzgdmQaYhKhKJluHKe/jhgff.gif?width=650)
Saa mbili za Ngoma, Mghana Yanga ni hatari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7btvQNVZKK669KpDlD1ihWmonF2Uy2onZdQibDOUvPvW5zLJ2EG5um-zlfJNpkz1AETWE8HYdFHjfFNvAE9-YYM/c.jpg)
MZEE CHILLO AMUONGOZA MGHANA KUMUANGUKIA MONA