Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mghana mpya Simba noma sana

Mshambuliaji wa Simba raia wa Ghana, Aboagye Gerson. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
WAKATI mchakato wa usajili wa kimyakimya ukiendelea kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Simba jana ilimshusha mshambuliaji raia wa Ghana, Aboagye Gerson aliyekuwa anakipiga Klabu ya Zhako ya Iraq. Ujio wa Mghana huyo ni mipango ya kukiboresha kikosi hicho katika kuelekea msimu ujao baada ya Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic kutoa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Shoo ya Utangulizi Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Live noma sana!

bella dar live (2) Malaika Band wakikamua shoo ya utangulizi ndani ya Dar Live.bella dar live (4) Makamuzi yakiendeleabella dar live (6)….mpiga Drama akifanya yake.
bella dar live (11)….mpiga gita naye akitoa vionjo vyake.bella dar live (18)Nyomi waliofika Dar Live kushuhudia shoo ya kufunga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016bella dar live (21) bella dar live (25) bella dar live (33)Shabiki maarufu wa Yanga, Mama Tunu akicheza jukwaani wakati wa shoo hiyo.bella dar live (41) bella dar live (43)Mashabiki wakijiachia jukwaani
bella dar live (51) bella dar live (55) bella dar live (63)
bella dar live (66)
bella dar live (89)…ni full kijiachia kuukaribisha 2016.

PICHA NA DENIS MTIMA/GPL

 

9 years ago

GPL

MKOPO NOMA SANA

Boniphace ngumije Mkopo noma! Mfanyabiashara maarufu, Mohamed Majid Seif, mkazi wa Mikocheni A, Kinondoni jijini Dar, ametolewa vitu ndani ya nyumba yake namba A35/210 baada ya kushindwa kulipa mkopo wa Sh. Milioni 210 aliouchukua kwenye Benki ya Boa (Bank Of Africa) mwaka 2011.  ....Soma zaidi===>http://goo.gl/XTPP3F

 

11 years ago

GPL

LULU: KUHOGWA NOMA SANA

Stori: Imelda Mtema
ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amewaasa wasichana wenzake kujitahidi kujishugulisha na kazi mbalimbali kuingiza ‘chapaa’ na wasiendekeze kuhongwa fedha na mapedeshee kwani ni aibu. Diva wa filamu za kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa kwenye pozi tofauti. Akistorisha na paparazi wetu pasipo kuweka wazi kama alishawahi kuhongwa au la, Lulu alitiririka:… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani