Mghana adai kumroga Ronaldo
>Mganga wa kienyeji wa Ghana, Nana Kwaku Bonsam amedai anahusika na kuumia kwa nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo baada ya kumroga ili asicheze Kombe la Dunia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Rooney amsemea 'mbovu' Ronaldo, adai anajivuna
Wayne Rooney amemshambuliaji nyota mwenzake wa zamani kwenye klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo, akidai anajikweza.
11 years ago
GPLMrithi wa Domayo ni huyu Mghana
Frank Domayo. Na Martha Mboma
PAMOJA na kuondoka, kwenda nchini Saudi Arabia, Kocha Hans van Der Pluijm ameanza mazungumzo na kiungo, Joseph Tetteh Zutah wa Medeama SC ya Ghana kuziba pengo lililoachwa na Frank Domayo. Kabla ya kuchukua uamuzi wa kuondoka Yanga na kujiunga na Al Shoala ya Saudi Arabia tayari Pluijm alimpendekeza Zutta kuchukua nafasi ya Domayo ambaye alisisitiza amekuwa havutiwi na uchezaji...
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
FIFA yaafiki marufuku ya mGhana
Fifa imempiga marufuku mchezaji wa Zamani wa Ghana Mark Edusei kwa kupanga mechi.
10 years ago
GPLMghana mpya Simba noma sana
Mshambuliaji wa Simba raia wa Ghana, Aboagye Gerson. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
WAKATI mchakato wa usajili wa kimyakimya ukiendelea kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Simba jana ilimshusha mshambuliaji raia wa Ghana, Aboagye Gerson aliyekuwa anakipiga Klabu ya Zhako ya Iraq. Ujio wa Mghana huyo ni mipango ya kukiboresha kikosi hicho katika kuelekea msimu ujao baada ya Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic kutoa...
10 years ago
GPLMZEE CHILLO AMUONGOZA MGHANA KUMUANGUKIA MONA
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko
MUIGIZAJI mkongwe, Ahmed Ulotu maarufu kama Mzee Chillo, hivi karibuni alimuongoza mtayarishaji wa filamu kutoka Ghana, Prince Richard kwenda kumpigia magoti mpenzi wake wa zamani, Yvonn Cherly ‘Monalisa’ baada ya kumkosea, lakini akajikuta akigonga mwamba kutokana na binti huyo kukataa. Muigizaji mkongwe, Ahmed Ulotu maarufu kama Mzee Chillo. ...
10 years ago
GPLSaa mbili za Ngoma, Mghana Yanga ni hatari
Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma. Wilbert Molandi na Sweetbert Luonge
SAA mbili walizofanya mazoezi ya pamoja na Yanga, zimetosha kabisa kwa mashabiki wa timu hiyo kukubali uwezo wa mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma na Mghana, Joseph Zuttah. Wachezaji hao walitua nchini wikiendi iliyopita na juzi walifuzu vipimo vya afya, kisha jana wakaanza kazi rasmi uwanjani na mastaa wengine.Ngoma amepewa jezi namba 11 iliyokuwa...
10 years ago
GPLDONALD NGOMA, MGHANA RASMI NDANI YA YANGA, WATUA BONGO LEO
Wachezaji wapya wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) kutoka Klabu ya FC Platinum ya Zimbabwe na James Zutah kutoka Medeama ya nchini kwao Ghana , anayecheza nafasi ya beki ya kulia na kiungo, punde bada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo saa 3:30 asubuhi. Zutah akihojiwa na mwandishi wa habari kabla ya kupanda gari kwenda kupumzika katika moja ya hoteli za kifahari katikati ya jiji walikoandaliwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania