DONALD NGOMA, MGHANA RASMI NDANI YA YANGA, WATUA BONGO LEO
Wachezaji wapya wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) kutoka Klabu ya FC Platinum ya Zimbabwe na James Zutah kutoka Medeama ya nchini kwao Ghana , anayecheza nafasi ya beki ya kulia na kiungo, punde bada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo saa 3:30 asubuhi. Zutah akihojiwa na mwandishi wa habari kabla ya kupanda gari kwenda kupumzika katika moja ya hoteli za kifahari katikati ya jiji walikoandaliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRgcXaWxXwKicx5PMGBYfoEmNYYnsdrHTn*074EjzteGGiuzse*y0kUYBAJu5Esnv3a8hJzgdmQaYhKhKJluHKe/jhgff.gif?width=650)
Saa mbili za Ngoma, Mghana Yanga ni hatari
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RYP5D9EXZP4/VZPPhegJ7bI/AAAAAAABNiE/HnVCy5cOWHs/s72-c/IMG-20150701-WA0007.jpg)
RASMI YANGA YAWATAMBULISHA NGOMA, TETTEH
![](http://3.bp.blogspot.com/-RYP5D9EXZP4/VZPPhegJ7bI/AAAAAAABNiE/HnVCy5cOWHs/s640/IMG-20150701-WA0007.jpg)
Rasmi uongozi wa Yanga umewatambulisha wachezaji wake Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Joseph Zuttah ‘Tetteh’ raia wa Ghana.
Wawili hao wameingia mkataba wa miaka miwili kuinoa Yanga na leo walitambulishwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Jerry Muro.Source:Salehjembe
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rvBv_f9PBF0/Uu8iT-XgnnI/AAAAAAAFKfk/-zpAcQlf8CA/s72-c/unnamed+(18).jpg)
CD mpya "Bongo Tambarare" ya Ngoma Africa Band aka FFU ndani ya Ethopia !
![](http://3.bp.blogspot.com/-rvBv_f9PBF0/Uu8iT-XgnnI/AAAAAAAFKfk/-zpAcQlf8CA/s1600/unnamed+(18).jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Jun
USAJILI : Ngoma atua leo, Kamara apewa siku saba Yanga
11 years ago
GPL![](http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/12/Ivo.jpg?width=640)
IVO MAPUNDA NA DONALD MUSOTI WAJIUNGA RASMI NA SIMBA SC
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n6WUl41XFOk/U3ExFIRI00I/AAAAAAAFhL8/-xeBlOSKrys/s72-c/29d26472015af1043b338f29ed7ef045.jpg)
Viongozi wa the Kop in Tanzania watua anfield kukamilisha usajili wa chama bongo
![](http://1.bp.blogspot.com/-n6WUl41XFOk/U3ExFIRI00I/AAAAAAAFhL8/-xeBlOSKrys/s1600/29d26472015af1043b338f29ed7ef045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WL4NGLKCt_o/U3ExFEN-MZI/AAAAAAAFhMA/hJQNnY_GWUQ/s1600/88bd1a493479e7238dc925fc4f25d81a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uXPt8U_ibls/U3ExJqKPSHI/AAAAAAAFhMM/H_WxCOw50cY/s1600/948a1527b1596a6fc210ce395c88f88b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NEzZz7DYw3c/U3ExMO8JlAI/AAAAAAAFhMU/R5N-dyPwG4Y/s1600/ceaa55d534462a7cc8b8a34482becfea.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fwpnZCBDhTZf4HBsHmhx5QgIDEvt7Qwlp5x3NdUEW1v2kkrW-tFIsJZSYM0hSdcNDgq9Iyg5GRJumKK7Xg9SyO/breakingnews.gif)
CHOKI, NYAMWELA WATUA RASMI TWANGA PEPETA
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA RASMI WAZIRI CHARLES KITWANGA, WIZARANI LEO
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kampeni ya ‘Wazazi Nipendeni’ kuzinduliwa rasmi leo viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar
Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai, viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika...