Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RASMI YANGA YAWATAMBULISHA NGOMA, TETTEH


Rasmi uongozi wa Yanga umewatambulisha wachezaji wake Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Joseph Zuttah ‘Tetteh’ raia wa Ghana.

Wawili hao wameingia mkataba wa miaka miwili kuinoa Yanga na leo walitambulishwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Jerry Muro.Source:Salehjembe

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DONALD NGOMA, MGHANA RASMI NDANI YA YANGA, WATUA BONGO LEO

Wachezaji wapya wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) kutoka Klabu ya FC Platinum ya Zimbabwe na James Zutah kutoka Medeama ya nchini kwao Ghana , anayecheza nafasi ya beki ya kulia na kiungo, punde bada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo saa 3:30 asubuhi. Zutah akihojiwa na mwandishi wa habari kabla ya kupanda gari kwenda kupumzika katika moja ya hoteli za kifahari katikati ya jiji walikoandaliwa...

 

9 years ago

BBC

Tetteh loaned to coach Sierra Leone

Sellas Tetteh is loaned by the Ghana FA to be caretaker boss of Sierra Leone as the search for a permanent coach is put on hold.

 

10 years ago

GPL

ADC YAWATAMBULISHA WAGOMBEA URAIS WAKE

 Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kulia) na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad  kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Buguruni Sheli Dar es Salaam jana.   Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga ngoma inogile kileleni

>Mabingwa watetezi, Yanga wamekwea kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuichakaza JKT Ruvu mabao 4-0 jana  kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Donaldo Ngoma kutua Yanga

Mshambuliaji wa Platinum FC ya Zimbabwe, Donaldo Ngoma anatarajiwa kuwasili Tanzania kwa ajili ya mazungumzo na Yanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amelazimika kubadili mbinu za ushambuliaji wake ili kumlinda mshambuliaji Donald Ngoma dhidi ya mabeki wa timu pinzani.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho

Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma kesho anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga, Coastal Union ngoma droo

Kikosi cha Yanga

Kikosi cha Yanga

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

HAKUNA mbabe, unaweza kusema hivyo baada ya klabu ya Yanga na Coastal Union kuamua yaishe kwa kupokezana Uwanja wa Gombani, Chake chake Pemba kwa ajili ya kufanya maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajia kuanza Septemba 20.

Timu hizo zote zimejikuta zikiwa na vibali vya kuutumia uwanja huo kwa ajili ya maandalizi hayo, ambapo kila mmoja alishindwa kumuachia mwenzake hadi walipoamua kuafikiana.

Kutokana na kuafikiana huko, Coast...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani