RASMI YANGA YAWATAMBULISHA NGOMA, TETTEH
![](http://3.bp.blogspot.com/-RYP5D9EXZP4/VZPPhegJ7bI/AAAAAAABNiE/HnVCy5cOWHs/s72-c/IMG-20150701-WA0007.jpg)
Rasmi uongozi wa Yanga umewatambulisha wachezaji wake Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Joseph Zuttah ‘Tetteh’ raia wa Ghana.
Wawili hao wameingia mkataba wa miaka miwili kuinoa Yanga na leo walitambulishwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Jerry Muro.Source:Salehjembe
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDONALD NGOMA, MGHANA RASMI NDANI YA YANGA, WATUA BONGO LEO
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1034A/production/_84887366_172558032.jpg)
Tetteh loaned to coach Sierra Leone
10 years ago
GPLADC YAWATAMBULISHA WAGOMBEA URAIS WAKE
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Yanga ngoma inogile kileleni
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Donaldo Ngoma kutua Yanga
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Yanga, Coastal Union ngoma droo
![Kikosi cha Yanga](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Kikosi-cha-Yanga.jpg)
Kikosi cha Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
HAKUNA mbabe, unaweza kusema hivyo baada ya klabu ya Yanga na Coastal Union kuamua yaishe kwa kupokezana Uwanja wa Gombani, Chake chake Pemba kwa ajili ya kufanya maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajia kuanza Septemba 20.
Timu hizo zote zimejikuta zikiwa na vibali vya kuutumia uwanja huo kwa ajili ya maandalizi hayo, ambapo kila mmoja alishindwa kumuachia mwenzake hadi walipoamua kuafikiana.
Kutokana na kuafikiana huko, Coast...