Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADC YAWATAMBULISHA WAGOMBEA URAIS WAKE

 Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kulia) na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad  kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Buguruni Sheli Dar es Salaam jana.   Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ADC YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA URAIS KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kulia) na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad  kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Buguruni Sheli Dar es Salaam jana.  Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kushoto), baada ya...

 

10 years ago

GPL

ACT KUTANGAZA WAGOMBEA WAKE WA URAIS AGOSTI 13, 2015

CHAMA cha ACT Wazalendo leo kimetoa ratiba yao kwa wanahabari kuhusu kutangaza wagombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba 2015. Ifuatayo ni taarifa yao kwa wanahabari: Ndugu waandishi wa Habari
Karibuni kwa mara nyingine katika makao makuu ya Chama chetu.
ACT Wazalendo tunaendelea kuwashukuru kwa kuitikia wito wetu kila mara tunapowaita kwa ajili ya kuchukua habari na kuzifikisha kwa umaa, hili linatutia moyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea ADC waonya wauza unga

Wanachama watatu wa Alliance for Democratic Change (ADC) wamechukua fomu za kuwania urais kupitia chama hicho, huku wakiahidi kukomesha mauaji ya albino na biashara ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Mwananchi

Yemba ateuliwa kuwania urais ADC

Mkutano mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) umemteua Chifu Lutalosa Yemba kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa chama hicho, Said Miraaj Abdulla kuwa mgombea mwenza.

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea urais ADC achukua fomu

MGOMBEA wa urais kwa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba jana alichukua fomu ya uteuzi wa urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kuahidi kuleta mabadiliko nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea urais ADC kuboresha Vicoba

Mgombea urais wa Zanzibar (ADC), Hamad Rashid Mohamed ameahidi kuboresha maisha ya wananchi kwa kuimarisha Benki za Wananchi wa Vijijini (Vicoba) na kuwakopesha watu wa kipato cha chini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

ADC yajivunia Hamad Rashid kugombea urais

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimempongeza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed kwa kuonesha nia ya kugombea urais kwa chama hicho. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar...

 

10 years ago

Mwananchi

ADC yaanza mchakato wa kupata mgombea urais

Chama cha ADC kimeanza mchakato wa kumpata mgombea wa urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25.

 

10 years ago

Michuzi

LUTALOSA YEMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA ADC

 Wanachama wa chama cha ADC wakishangilia mara baada ya kumtangaza mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar katika mkutano wa kamati kuu uliofanyika leo katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.Wanachama wa chama cha ADC wakipata urudani kutioka kwa kijana wao wa burudani katika mkutano mkuu wa chama hicho wa kumtangaza mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,mgombea urais wa Zanzibar na mgombea mweza katika nafasi hiyo, katika mkutano uliofanyika Hoteli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani