ADC YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA URAIS KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kulia) na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Buguruni Sheli Dar es Salaam jana.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kushoto), baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPRESS CLUB ZNZ YAFANYA UCHAGUZI NA KUSISITIZWA MAADILI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
VijimamboTAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
GPLTAASISI YA TANZANIA BORA INITIATIVE YAFANYA KONGAMANO LA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
10 years ago
Mwananchi07 Mar
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU: Wanaokata majina ya wagombea CCM marufuku
10 years ago
GPLADC YAWATAMBULISHA WAGOMBEA URAIS WAKE
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA WAGOMBEA UWAKILISHI ZANZIBAR KUZUNGUMZIA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUU ADC WAMPITISHA, CHIEF LUTASOLA YEMBA KUWA MGOMBEA URAIS TANZANIA BARA, SAID MIRAJI ABDULLAH MGOMBEA MWENZA
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MKOA WA MARA WAMDHAMINI MWIGULU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015 NAFASI YA URAIS
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/1609894_386331638235737_1904498229942102925_n.jpg?oh=68b44fbb36fcfa9fa2c42f0fb0ba22e4&oe=5626E6E1&__gda__=1445857056_c55781e33dce2c124e9f052e81389681)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtf1/v/t1.0-9/11427795_386331541569080_8604977508515359629_n.jpg?oh=475be2e3f49c3aa02f5d1fc390d45e19&oe=55F473DB&__gda__=1442242176_a3eb576408abe5802d51ab45c1f37aa7)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11232939_386331564902411_8454889862278018987_n.jpg?oh=d773e757c55d3cced9c99346c9f243d5&oe=55E8B485)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10354069_386331604902407_7027826482181036082_n.jpg?oh=e86f62c78f61eb16c9ef100e01744b49&oe=5633BA23)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11051871_386331511569083_4137191233842874504_n.jpg?oh=76ed97de18888f82efca7d69ba16a0d6&oe=55E6FA81)