Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yemba ateuliwa kuwania urais ADC

Mkutano mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) umemteua Chifu Lutalosa Yemba kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa chama hicho, Said Miraaj Abdulla kuwa mgombea mwenza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

LUTALOSA YEMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA ADC

 Wanachama wa chama cha ADC wakishangilia mara baada ya kumtangaza mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar katika mkutano wa kamati kuu uliofanyika leo katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.Wanachama wa chama cha ADC wakipata urudani kutioka kwa kijana wao wa burudani katika mkutano mkuu wa chama hicho wa kumtangaza mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,mgombea urais wa Zanzibar na mgombea mweza katika nafasi hiyo, katika mkutano uliofanyika Hoteli...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUU ADC WAMPITISHA, CHIEF LUTASOLA YEMBA KUWA MGOMBEA URAIS TANZANIA BARA, SAID MIRAJI ABDULLAH MGOMBEA MWENZA

 Mgombea urais wa chama cha ADC,  Zanzibar, Hamad Rashid Hamad, akihutubia katika mkutano huo. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha mgombea mwenza wake, Said Miraji (kulia), katika mkutano mkuu wa tatu wa chama hicho uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad.
 Makamu Mwenyekiti wa ADC, Zanzibar, Faki Hamisi Silima,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gbagbo ateuliwa kuwania urais akiwa ICC

Aliyekuwa Rais wa Ivory Coast,Laurent Gbagbo, anayezuiliwa katika mahakama ya ICC, ameteuliwa na chama chake kugombea Urais

 

9 years ago

Dewji Blog

Chief Yemba wa ADC atangaza kugombea kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !

Yemba+PHOTO Chief Yemba

Na Mahmoud Ahmad

[TANZANIA]

Kutoka jiji la Arusha, aliyekuwa  mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba (Pichani) ametangaza kugombea kiti cha Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADC.

Chief Yemba, ameyasema hayo leo jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari akitoa tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na kutathimini uchaguzi wa jimbo la Arusha ambao...

 

9 years ago

Mwananchi

Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais

Baada ya jitihada zake za kumuondoa Profesa Ibrahim Lipumba kwenye uenyekiti wa chama cha CUF, Chifu Lutayosa Yemba sasa ameanza safari mpya ya kuelekea Ikulu, akipeperusha bendera ya Alliance for Democratic Change (ADC).

 

9 years ago

Dewji Blog

MO DEWJI ATEULIWA KUWANIA TUZO YA HESHIMA BARANI AFRIKA

mohammed-dewji_416x416

“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015”

KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB]   KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”

MO DEWJI

“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mo Dewji ateuliwa kuwania Tuzo ya Heshima Barani Afrika #FAPOY2015

mohammed-dewji_416x416

“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015” #FAPOY2015

KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB]   KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”

MO DEWJI

“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea urais ADC kuboresha Vicoba

Mgombea urais wa Zanzibar (ADC), Hamad Rashid Mohamed ameahidi kuboresha maisha ya wananchi kwa kuimarisha Benki za Wananchi wa Vijijini (Vicoba) na kuwakopesha watu wa kipato cha chini.

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea urais ADC achukua fomu

MGOMBEA wa urais kwa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba jana alichukua fomu ya uteuzi wa urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kuahidi kuleta mabadiliko nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani