Yemba ateuliwa kuwania urais ADC
Mkutano mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) umemteua Chifu Lutalosa Yemba kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa chama hicho, Said Miraaj Abdulla kuwa mgombea mwenza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziLUTALOSA YEMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA ADC
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUU ADC WAMPITISHA, CHIEF LUTASOLA YEMBA KUWA MGOMBEA URAIS TANZANIA BARA, SAID MIRAJI ABDULLAH MGOMBEA MWENZA
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Gbagbo ateuliwa kuwania urais akiwa ICC
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Chief Yemba wa ADC atangaza kugombea kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !
Chief Yemba
Na Mahmoud Ahmad
[TANZANIA]
Kutoka jiji la Arusha, aliyekuwa mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba (Pichani) ametangaza kugombea kiti cha Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADC.
Chief Yemba, ameyasema hayo leo jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari akitoa tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na kutathimini uchaguzi wa jimbo la Arusha ambao...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
MO DEWJI ATEULIWA KUWANIA TUZO YA HESHIMA BARANI AFRIKA
“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015”
KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB] KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”
“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Mo Dewji ateuliwa kuwania Tuzo ya Heshima Barani Afrika #FAPOY2015
“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015” #FAPOY2015
KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB] KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”
“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Mgombea urais ADC kuboresha Vicoba
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mgombea urais ADC achukua fomu
MGOMBEA wa urais kwa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba jana alichukua fomu ya uteuzi wa urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kuahidi kuleta mabadiliko nchini.