Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gbagbo ateuliwa kuwania urais akiwa ICC

Aliyekuwa Rais wa Ivory Coast,Laurent Gbagbo, anayezuiliwa katika mahakama ya ICC, ameteuliwa na chama chake kugombea Urais

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yemba ateuliwa kuwania urais ADC

Mkutano mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) umemteua Chifu Lutalosa Yemba kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa chama hicho, Said Miraaj Abdulla kuwa mgombea mwenza.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC yasema ina ushahidi dhidi ya Gbagbo

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC imesema ina ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka ya uhalifu wa kivita rais wa zamani wa Ivory Coast Laurent Gbagbo.

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU LAMEK NCHEMBA NAYE ATANGAZA KUWANIA URAIS WA TANZANIA, AKIWA MKOANI DODOMA

Naibu Waziri wa Fedha, na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Lameck Nchemba,akiwa na familia yake, wakati alipowasili, kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo chuo cha Mipango mjini Dodoma, leo Jumapili Mei 31, 2015, muda mfupi kabla ya kutangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM. Mwiguklu anakuwa ni mwana CCM wa nne kutangaza n ia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere, Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephene Wasira, na Waziri Mkuu wa zamani...

 

10 years ago

Vijimambo

DK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk. Mwale Malecela pichani kabla ya kuingia katika chumba cha habari katika Redio ya Mwambao iliyopo Tanga eneo la Kange ndani ya Kiwanda cha Tanga Fresh ambaye ni mtoto wa Makamu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM. Dk. Mwale katika maisha yake mengi kwa zaidi ya miaka20 amekua mtumishu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

MO DEWJI ATEULIWA KUWANIA TUZO YA HESHIMA BARANI AFRIKA

mohammed-dewji_416x416

“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015”

KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB]   KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”

MO DEWJI

“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mo Dewji ateuliwa kuwania Tuzo ya Heshima Barani Afrika #FAPOY2015

mohammed-dewji_416x416

“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015” #FAPOY2015

KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB]   KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”

MO DEWJI

“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...

 

9 years ago

Bongo5

Mbwana Samatta ateuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika, ni wachezaji wanaocheza soka la ndani

Mshambuliaji wa Taifa Stars na klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta ameteuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika inayowahusu wachezaji wanaochezea vilabu vya ndani ya Afrika. Orodha hiyo imetolewa jana Jumapili na shirikisho la soka barani Afrika, CAF. Samatta aliiwezesha TP Mazembe hivi karibuni kuingia kwenye fainali ya michuano ya mabingwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al-Sisi kuwania Urais Misri

Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani