Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al-Sisi kuwania Urais Misri

Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Putin aunga Sisi ''kuwania urais Misri''

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anaunga mkuu wa majeshi ya Misri Abdul Fattah al-Sisi kuwania urais .

 

11 years ago

GPL

RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA

Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka

Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Sisi aapa kuzima ugaidi Misri

Rais Abdul Fattah al Sisi amesema ipo haja kurekebisha sheria kukabiliana na ugaidi, baada ya mwendesha mashtaka kuuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Sisi asema watu wataka kumwua Misri

Ingawa Abdel Fattah El Sisi, hajakuwa Rais bado lakini, kiongozi huyo wa zamani wa jeshi, anasema kuna wanaotaka kumwua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais El-Sisi asema Misri itajibu mapigo

Rais wa Misri amesema nchi yake ina haki ya kujibu mashambulio kwa namna yoyote ile inayoona inafaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Rasmi sasa Al Sisi ndiye Rais - Misri

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais nchini Misri yamethibitisha kuwa Abdul Fattah AL Sisi ameshinda urais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Abdel-Fattah el-Sisi rais mpya wa Misri

Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini humo, Abdel-Fattah el-Sisi, ameshinda urais kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuna njama dhidi ya Misri asema Al-Sisi

Rais wa Misri ahutubia taifa baada ya mauaji makubwa ya wanajeshi na anatuhumu kuwa nchi yake yapangiwa njama jutoka nje

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani