Al-Sisi kuwania Urais Misri
Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Putin aunga Sisi ''kuwania urais Misri''
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anaunga mkuu wa majeshi ya Misri Abdul Fattah al-Sisi kuwania urais .
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi18qIFYmzatHrRqkMaVKLiB0p8g2iTMqo97s25d8w6mNGq*gOEnlvcmMxkGMP4ulYJp1YSqECFUolQtoj-fg2vn/alsisi.jpg)
RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA
Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka
Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Al Sisi aapa kuzima ugaidi Misri
Rais Abdul Fattah al Sisi amesema ipo haja kurekebisha sheria kukabiliana na ugaidi, baada ya mwendesha mashtaka kuuawa.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Al Sisi asema watu wataka kumwua Misri
Ingawa Abdel Fattah El Sisi, hajakuwa Rais bado lakini, kiongozi huyo wa zamani wa jeshi, anasema kuna wanaotaka kumwua.
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Rais El-Sisi asema Misri itajibu mapigo
Rais wa Misri amesema nchi yake ina haki ya kujibu mashambulio kwa namna yoyote ile inayoona inafaa.
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Ni Rasmi sasa Al Sisi ndiye Rais - Misri
Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais nchini Misri yamethibitisha kuwa Abdul Fattah AL Sisi ameshinda urais.
11 years ago
BBCSwahili29 May
Abdel-Fattah el-Sisi rais mpya wa Misri
Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini humo, Abdel-Fattah el-Sisi, ameshinda urais kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Kuna njama dhidi ya Misri asema Al-Sisi
Rais wa Misri ahutubia taifa baada ya mauaji makubwa ya wanajeshi na anatuhumu kuwa nchi yake yapangiwa njama jutoka nje
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania