Abdel-Fattah el-Sisi rais mpya wa Misri
Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini humo, Abdel-Fattah el-Sisi, ameshinda urais kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2gatWEWEriA/U62cT-Y_q1I/AAAAAAACka4/DSro6yKfA1E/s72-c/a4.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MPYA WA MISRI MHE ABDEL FATTAH Al-SISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2gatWEWEriA/U62cT-Y_q1I/AAAAAAACka4/DSro6yKfA1E/s1600/a4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wqWlZQWEH-8/U62cTjCxeHI/AAAAAAACka0/PpNQ5p2a4Zg/s1600/a2.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/73188000/jpg/_73188408_73188336.jpg)
Abdul Fattah al-Sisi: New face of Egypt's old guard
The rise of Egypt's mysterious Field Marshal Abdul Fattah al-Sisi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi18qIFYmzatHrRqkMaVKLiB0p8g2iTMqo97s25d8w6mNGq*gOEnlvcmMxkGMP4ulYJp1YSqECFUolQtoj-fg2vn/alsisi.jpg)
RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA
Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Ni Rasmi sasa Al Sisi ndiye Rais - Misri
Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais nchini Misri yamethibitisha kuwa Abdul Fattah AL Sisi ameshinda urais.
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Rais El-Sisi asema Misri itajibu mapigo
Rais wa Misri amesema nchi yake ina haki ya kujibu mashambulio kwa namna yoyote ile inayoona inafaa.
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
Rais mpya wa Misri kuapishwa
Usalama umeimarishwa katika mji mkuu wa Misri ,Cairo kabla ya kufanyika kwa sherehe ya kumuapisha rais Abdel Fatah el Sisi.
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Al-Sisi kuwania Urais Misri
Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka
Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Al Sisi aapa kuzima ugaidi Misri
Rais Abdul Fattah al Sisi amesema ipo haja kurekebisha sheria kukabiliana na ugaidi, baada ya mwendesha mashtaka kuuawa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania