Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abdel-Fattah el-Sisi rais mpya wa Misri

Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini humo, Abdel-Fattah el-Sisi, ameshinda urais kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MPYA WA MISRI MHE ABDEL FATTAH Al-SISI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.PICHA NA IKULU

 

11 years ago

BBC

Abdul Fattah al-Sisi: New face of Egypt's old guard

The rise of Egypt's mysterious Field Marshal Abdul Fattah al-Sisi

 

11 years ago

GPL

RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA

Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Rasmi sasa Al Sisi ndiye Rais - Misri

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais nchini Misri yamethibitisha kuwa Abdul Fattah AL Sisi ameshinda urais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais El-Sisi asema Misri itajibu mapigo

Rais wa Misri amesema nchi yake ina haki ya kujibu mashambulio kwa namna yoyote ile inayoona inafaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Misri kuapishwa

Usalama umeimarishwa katika mji mkuu wa Misri ,Cairo kabla ya kufanyika kwa sherehe ya kumuapisha rais Abdel Fatah el Sisi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al-Sisi kuwania Urais Misri

Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka

Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Sisi aapa kuzima ugaidi Misri

Rais Abdul Fattah al Sisi amesema ipo haja kurekebisha sheria kukabiliana na ugaidi, baada ya mwendesha mashtaka kuuawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani