RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi18qIFYmzatHrRqkMaVKLiB0p8g2iTMqo97s25d8w6mNGq*gOEnlvcmMxkGMP4ulYJp1YSqECFUolQtoj-fg2vn/alsisi.jpg)
Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2gatWEWEriA/U62cT-Y_q1I/AAAAAAACka4/DSro6yKfA1E/s72-c/a4.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MPYA WA MISRI MHE ABDEL FATTAH Al-SISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2gatWEWEriA/U62cT-Y_q1I/AAAAAAACka4/DSro6yKfA1E/s1600/a4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wqWlZQWEH-8/U62cTjCxeHI/AAAAAAACka0/PpNQ5p2a4Zg/s1600/a2.jpg)
11 years ago
BBCSwahili29 May
Abdel-Fattah el-Sisi rais mpya wa Misri
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Rais El-Sisi asema Misri itajibu mapigo
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Ni Rasmi sasa Al Sisi ndiye Rais - Misri
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Al-Sisi kuwania Urais Misri
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Al Sisi aapa kuzima ugaidi Misri
11 years ago
BBCSwahili06 May
Al Sisi asema watu wataka kumwua Misri
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Putin aunga Sisi ''kuwania urais Misri''