Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Putin aunga Sisi ''kuwania urais Misri''

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anaunga mkuu wa majeshi ya Misri Abdul Fattah al-Sisi kuwania urais .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Al-Sisi kuwania Urais Misri

Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao

 

11 years ago

BBC

Putin backs Sisi 'presidency bid'

Russia's President Vladimir Putin says he backs Egypt's military chief Abdul Fattah al-Sisi in his "bid for the presidency" - a move not yet announced.

 

11 years ago

GPL

RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA

Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Sisi aapa kuzima ugaidi Misri

Rais Abdul Fattah al Sisi amesema ipo haja kurekebisha sheria kukabiliana na ugaidi, baada ya mwendesha mashtaka kuuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka

Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda aunga foleni ya wasaka urais

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionesha mkoba wenye fomu ya kuwania kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu baada ya kuchukua fomu hiyo, Dodoma jana. Kulia ni mkewe, Tunu Pinda na Katibu wa Oganaizesheni wa NEC, Mohamed Seif Khatib. (Picha na Ofisi Waziri Mkuu)WAZIRI Mkuu jana amejitosa rasmi kuchukua fomu na kuingia katika kinyang’anyiro cha kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais El-Sisi asema Misri itajibu mapigo

Rais wa Misri amesema nchi yake ina haki ya kujibu mashambulio kwa namna yoyote ile inayoona inafaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Abdel-Fattah el-Sisi rais mpya wa Misri

Aliyekuwa mkuu wa jeshi nchini humo, Abdel-Fattah el-Sisi, ameshinda urais kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Rasmi sasa Al Sisi ndiye Rais - Misri

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais nchini Misri yamethibitisha kuwa Abdul Fattah AL Sisi ameshinda urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani