Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda aunga foleni ya wasaka urais

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionesha mkoba wenye fomu ya kuwania kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu baada ya kuchukua fomu hiyo, Dodoma jana. Kulia ni mkewe, Tunu Pinda na Katibu wa Oganaizesheni wa NEC, Mohamed Seif Khatib. (Picha na Ofisi Waziri Mkuu)WAZIRI Mkuu jana amejitosa rasmi kuchukua fomu na kuingia katika kinyang’anyiro cha kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

JK awafyatua wasaka urais

RAIS Jakaya Kikwete amewaponda wanasiasa wanaopigana vikumbo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakisaka uongozi kwa rushwa ya fedha na vijizawadi kwa wananchi, akihoji walikuwa wapi wakati wote. Pamoja na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Putin aunga Sisi ''kuwania urais Misri''

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anaunga mkuu wa majeshi ya Misri Abdul Fattah al-Sisi kuwania urais .

 

10 years ago

Habarileo

‘Wasaka urais iacheni Tahliso’

UMOJA wa Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), umesema haupo tayari kuona unaingiliwa na wanasiasa kwa ajili ya kutaka waungwe mkono kuelekea katika uchaguzi mkuu wa urais wa mwaka 2015.

 

11 years ago

Habarileo

TUCTA yaonya wasaka urais

Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicholaus MgayaKATIBU Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholaus Mgaya amewataka wanasiasa wanaotarajia kuwania urais wa nchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, kuacha kuwatumia wafanyakazi.

 

10 years ago

Habarileo

Wasaka urais CCM wavuruga wabunge

Spika wa Bunge, Anna Makinda.WAKATI wasaka urais wa CCM wakizunguka nchi nzima kutafuta wadhamini ili watimize masharti ya kutimiza ndoto zao, vita ya wasaka majimbo imepamba moto kiasi cha kukimbiza wabunge na mawaziri karibu wote katika vikao vya Bunge vinavyoendelea Dodoma.

 

10 years ago

Raia Mwema

Wasaka urais wabagua wadhamini Mwanza

KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaosaka urais wameonyesha

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wasaka urais wengi CCM ni tegesha tu!

ONGEZEKO la makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaowania urais mwaka huu linatazamwa na watu wengi kwamba ni matokeo ya kupanuka kwa demokrasia ndani ya chama tawala, ingawa ukweli  usiopingika ni kuwa, wengi wao hawana dhamira ya kweli ya kuingia Ikulu.

Takwimu zilizopo zinaonyesha kwamba, makada zaidi ya 30 wametangaza nia na kuchukua fomu watakazotumia kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, dhidi ya wagombea wengine kutoka vyama vingine...

 

10 years ago

Habarileo

TAHLISO yawajia juu wasaka urais

Mussa MdedeUMOJA wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (TAHLISO) umedai kuwepo wanasiasa wanaojitokeza wakitaka uwapigie debe, kuwatengenezea mazingira ya kuwania nafasi za uongozi vitendo vinavyohatarisha umoja wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya kwanza, wasaka urais baadaye

MWAKA 1995 Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alituasa Watanzania tumchague mtu ambaye anachukia rushwa kwa dhati. Kwa maneno ya Mwalimu, ukimtazama mtu huyo anapotamka neno rushwa uridhike kwamba anaichukia rushwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani