ACT KUTANGAZA WAGOMBEA WAKE WA URAIS AGOSTI 13, 2015
![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j0KgE8ME0pUkr-TCCMS*MJt3jmgKQOXxnn2pXyOoI0LyZByhuvHeSmaetKGBwMfBEVv-UgZvL33O*mRF72zAgvB/ACT.jpg?width=650)
CHAMA cha ACT Wazalendo leo kimetoa ratiba yao kwa wanahabari kuhusu kutangaza wagombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba 2015. Ifuatayo ni taarifa yao kwa wanahabari: Ndugu waandishi wa Habari Karibuni kwa mara nyingine katika makao makuu ya Chama chetu. ACT Wazalendo tunaendelea kuwashukuru kwa kuitikia wito wetu kila mara tunapowaita kwa ajili ya kuchukua habari na kuzifikisha kwa umaa, hili linatutia moyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Mgombea urais ACT kujulikana Agosti 10
10 years ago
Habarileo15 Jun
Mgombea Urais wa ACT hadharani Agosti 10
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu kupitia chama cha ACT-Wazalendo, inatarajia kujulikana Agosti 10 mwaka huu.
10 years ago
GPLADC YAWATAMBULISHA WAGOMBEA URAIS WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Filamu mpya ya Wake-Up kuzinduliwa Agosti 30, 2015 jijini Dar
Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu filamu hiyo mpya inayotarajiwa kuzinduliwa Agosti 30, 2015. Kulia ni msanii wa filamu, Farida Sabua ‘Mama Sonia na Salim Ahmed ‘Gabo’.
Msanii wa filamu, Taiya Odero (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Meza kuu. Kutoka kulia ni Taiya Odero, Farida Sabua ‘Mama Sonia, Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga, Salim Ahmed ‘Gabo na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzc*yI7SKe5mFPKuU8fxGoJRbnIPiVTUlc0e2nLjrsZw1S9hWSZ8ag8Ab9TPuyTO6wshWWDbmjeHCwUAvIgmd-m2/Joketi.jpg)
JOKATE AWAGOMEA WAGOMBEA URAIS 2015
10 years ago
VijimamboFILAMU MPYA YA WAKE-UP KUZINDULIWA AGOSTI 30, 2015 JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO — MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015
The post VIDEO – MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015 appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VJSscSfWNPU/VbuApMt0BZI/AAAAAAABj9g/9i1LRJEOQIE/s72-c/IMG_3383.jpg)