Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Jun
Sentensi kumi za Makongoro Nyerere kuhusu yeye na wanawake, ulevi na kutangaza nia.. (Sauti)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/makongoro_charles-1764x700.jpg?resize=572%2C226)
Headlines zenye stori za Siasa zimeendelea kutawala.. Makongoro Nyerere ni Mbunge anaewakilisha TZ kwenye Bunge la Afrika Mashariki, nae alikuwa nyumbani kwao Butiama, hapa nimenukuu sehemu ya kile aichokisema akiwa huko.
Utamsikiliza kwa urefu zaidi kila alichokisema kwenye sauti hii mtu wangu. CREDIT:MILLARDAYO.COM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vwQaXT35C*P--XRJ7a*1AADFMPcrS6js14UPfok8PYIQupk1x9pbdvsu3jIXX7Mh3VI*6mm1ai3Q33Nraea5Ri/MAKONGORO.jpg?width=650)
MAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA
10 years ago
VijimamboMakongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?
Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.
Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
CCM: Marufuku kutangaza nia ya kugombea urais
Na Ally Ndota, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya viongozi na watendaji wake kuacha tabia ya kuwabeba wana-CCM wanaotangaza nia ya kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao, kwani kufanya hivyo ni kukiuka kanuni na miongozo ya Chama.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar), Vuai Ali Vuai ametoa onyo hilo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kamati za Siasa za Mkoa na Wilaya za Kichama za Mjini na Amani, ikiwa ni mfululizo wa ziara ya wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya NEC,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uqlBu1tnfTIaRUL1nbvazCLdsH7g2K8bjmFa4nT043P8TX52D1UJcUmw4dknY2y3jVZeCC-4Xey8s3PdcpLE1F/kamani.jpg)
DK. KAMANI NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4QLYHZGpwUtqrMN*zT1HpY0xM9C-Lfwe1*UV4lcjcZnpYFZFIolPcF-*-7xfrinxTAqKwSoh2v0zicnm3bP9F5/11722103_428945650611202_5672213971812156064_o.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA NAYE KUTANGAZA NIA SOON!
10 years ago
Mwananchi08 May
UCHAGUZI CCM 2015: Makongoro Nyerere: Mbunge wa Afrika Mashariki
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Makongoro Nyerere afunguka urais