Makongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?
Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.
Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Makongoro Nyerere afunguka urais
10 years ago
Mwananchi08 May
UCHAGUZI CCM 2015: Makongoro Nyerere: Mbunge wa Afrika Mashariki
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Nani wa kuiwakilisha Ukawa urais 2015?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bdHbT4Cltf8/VcVL7ns0viI/AAAAAAAD2nk/nLeqWYFqSnk/s72-c/70404135c41d3009bbdf534d4ed573e2.jpg)
KURA YA URAIS 2015 NANI CHAGUO LAKO?
![](http://3.bp.blogspot.com/-bdHbT4Cltf8/VcVL7ns0viI/AAAAAAAD2nk/nLeqWYFqSnk/s640/70404135c41d3009bbdf534d4ed573e2.jpg)
JOHN P.MAGUFULI
SIJAAMUA (UNDECIDED)
See results votepolls
Kura Yako Inaangukia Kwa Nani?
10 years ago
Vijimambo11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTj1IaOug6K8PDOZOKE78W9kKjxDsBhArO5UyMmlNu3c1rygm-Va1OuGOK*kkxsT97Vy5*E4I4yhj0AnK87Wugi/pasua.jpg)
URAIS 2015: SIFA ZA RAIS TUNAYEMTAKA NYERERE ALIZITAJA
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo