KATI YA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM NI NANI UNAFIKIRIA ATANGAZWA JULY 11, 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Aug
CCM waanza kupitia mafaili ya wagombea urais
![Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Philip-Mangula.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
KAMATI Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Philip Mangula, imeanza vikao vyake mjini Dodoma kupitia taarifa za utekelezaji wa adhabu kwa makada sita wa chama hicho wanaodaiwa kuanza kampeni kuwania urais mwaka 2015 kabla ya wakati.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya CCM kiliiambia MTANZANIA kuwa kikao hicho kilianza jana...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s72-c/1.png)
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s640/1.png)
Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6CRenwFnjuo/VXw2Ye1hP-I/AAAAAAAAJtc/EWqGG-8Kdu8/s640/2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fh-NT-wXWg/VXw2acPfuwI/AAAAAAAAJtk/L7eWiggLeV8/s640/3.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s72-c/nec2.jpg)
Leo Mzee Kingunge kaongea na Vyombo vya Habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s640/nec2.jpg)
Kingunge amesema "Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo chakuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu ktk kuwajadili wagombea"
Amesema Kamati ya Maadili ya safari hii imefanya kazi isiyowahusukikatiba - kukata majina ya wagombe.
Kingunge amesema Kamati ya Maadili ya CCM yenyewe imekosa maadili yakuheshimu katiba na taratibu za chama.Amesisitiza Kamati ya Maadili haikuwa na madaraka ya kupeleka majina 5kwenye kamati kuu, ambayo ilipaswa kuhoji wagombea wote 38.
Kwa mujibu wa Kingunge, Kuna...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Nyalandu ajitosa rasmi mbio za Urais kupitia CCM 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jty3nj3cM7M/VaEsr8NEYpI/AAAAAAABRho/0XuP9lIQgxQ/s72-c/CJo_IEpWsAAA-LO.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s72-c/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
MHE.JOHN MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s640/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
Dr. Asha Rose Migiro amepata jumla ya kura 59 sawa na na asilimia 2.4%
Balozi Amina Ali amepata jumla ya kura 253 sawa na asilimia 10.5%
Mhe. John Magufuli amepata jumla ya kura 2104 sawa na asilimia 87.1%
10 years ago
Mwananchi21 Apr
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s72-c/Magufuli.jpg)
Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s640/Magufuli.jpg)