CCM waanza kupitia mafaili ya wagombea urais
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
KAMATI Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Philip Mangula, imeanza vikao vyake mjini Dodoma kupitia taarifa za utekelezaji wa adhabu kwa makada sita wa chama hicho wanaodaiwa kuanza kampeni kuwania urais mwaka 2015 kabla ya wakati.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya CCM kiliiambia MTANZANIA kuwa kikao hicho kilianza jana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s72-c/1.png)
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s640/1.png)
Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6CRenwFnjuo/VXw2Ye1hP-I/AAAAAAAAJtc/EWqGG-8Kdu8/s640/2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fh-NT-wXWg/VXw2acPfuwI/AAAAAAAAJtk/L7eWiggLeV8/s640/3.png)
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s72-c/nec2.jpg)
Leo Mzee Kingunge kaongea na Vyombo vya Habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s640/nec2.jpg)
Kingunge amesema "Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo chakuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu ktk kuwajadili wagombea"
Amesema Kamati ya Maadili ya safari hii imefanya kazi isiyowahusukikatiba - kukata majina ya wagombe.
Kingunge amesema Kamati ya Maadili ya CCM yenyewe imekosa maadili yakuheshimu katiba na taratibu za chama.Amesisitiza Kamati ya Maadili haikuwa na madaraka ya kupeleka majina 5kwenye kamati kuu, ambayo ilipaswa kuhoji wagombea wote 38.
Kwa mujibu wa Kingunge, Kuna...
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Upinzani waanza kupekua mafaili
ZIKIWA ni siku tatu tu tangu Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kutangazwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Profesa Abdalah Safari, amesema hofu yao ilikuwa kwa Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje) na si Magufuli.
Akizungumza na gazeti hili jana jijini hapa, Profesa Safari alisema hawakuwa na hofu na Magufuli kutokana na kuwa na makabrasha watakayotumia kupambana naye kutokana na utendaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
ZANZIBAR KUMEKUCHA WAGOMBEA WAANZA KURUDISHA FOMU ZA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8r_Q6TGsiJA/XvHe9sQyUDI/AAAAAAALvDQ/d0w6XM62Qv0b6D_ouQpmB6URWly4w_X1wCLcBGAsYHQ/s640/Hija%2Bfomu%2B2.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Cheyo atafuta wagombea urais kupitia UDP
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s72-c/487.jpg)
CCM ZANZIBAR WAANZA MCHAKATO WA KUTOA FOMU KWA WAGOMBEA WA UBUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s640/487.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ys8zVR5v_Ik/VaaIjVU_5sI/AAAAAAAHp9Y/b6rw4O_LKWI/s640/490.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-INUNEyYkIWI/VaaIjxevP3I/AAAAAAAHp9c/aEZDTcQuDzs/s640/491.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...