Cheyo atafuta wagombea urais kupitia UDP
Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha UDP, amesema wanamkaribisha mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Cheyo akaribisha ‘wageni’ kuwania urasi kupitia UDP
10 years ago
Mtanzania19 Aug
CCM waanza kupitia mafaili ya wagombea urais
![Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Philip-Mangula.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
KAMATI Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Philip Mangula, imeanza vikao vyake mjini Dodoma kupitia taarifa za utekelezaji wa adhabu kwa makada sita wa chama hicho wanaodaiwa kuanza kampeni kuwania urais mwaka 2015 kabla ya wakati.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya CCM kiliiambia MTANZANIA kuwa kikao hicho kilianza jana...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s72-c/1.png)
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s640/1.png)
Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6CRenwFnjuo/VXw2Ye1hP-I/AAAAAAAAJtc/EWqGG-8Kdu8/s640/2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fh-NT-wXWg/VXw2acPfuwI/AAAAAAAAJtk/L7eWiggLeV8/s640/3.png)
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s72-c/nec2.jpg)
Leo Mzee Kingunge kaongea na Vyombo vya Habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s640/nec2.jpg)
Kingunge amesema "Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo chakuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu ktk kuwajadili wagombea"
Amesema Kamati ya Maadili ya safari hii imefanya kazi isiyowahusukikatiba - kukata majina ya wagombe.
Kingunge amesema Kamati ya Maadili ya CCM yenyewe imekosa maadili yakuheshimu katiba na taratibu za chama.Amesisitiza Kamati ya Maadili haikuwa na madaraka ya kupeleka majina 5kwenye kamati kuu, ambayo ilipaswa kuhoji wagombea wote 38.
Kwa mujibu wa Kingunge, Kuna...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s72-c/MMGL0316.jpg)
NEC YAWATHIBITISHA LOWASSA NA DUNI KUWA WAGOMBEA WA CHADEMA KUPITIA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s640/MMGL0316.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s640/MMGL0274.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PgEuc64m5Do/Xk4NRseIsFI/AAAAAAALeZY/kyXytTx7LuouVC-2SEUZ5rmcNXBwZFjCgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3195-1024x684.jpg)
Wananchi Wapewa Mbinu za Kuwachuja Wagombea 2020 Kupitia Huduma kwa Watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-PgEuc64m5Do/Xk4NRseIsFI/AAAAAAALeZY/kyXytTx7LuouVC-2SEUZ5rmcNXBwZFjCgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3195-1024x684.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akisalimiana na wananfunzi wa shule ya Sekondari Kizwite kabla ya kuwazawadia fedha baada ya kutumbuiza kwa wito unaohamasisha ilinzi kwa watoto katika sherehe za uzinduzi wa Mkakati wa Miaka mitano (2020 – 2025) wa kukabiliana na mimba za utotoni mkoa wa Rukwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_3286-1024x684.jpg)
Wanafunzi wa shule ya Msingi majengo wakitoa burudani mbele ya mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Rukwa (hayupo pichani) kwa wimbo wao wa kuhamasisha kumjali na kumpatia haki mtoto katika ...