Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KURA YA URAIS 2015 NANI CHAGUO LAKO?

Mhe. Dr. Johh Pombe Magufuli                                    Mhe. Edward LowassaKURA YA URAIS 2015: NANI CHAGUO LAKO?(Poll By NewDealAfrica)EDWARD N.LOWASSA
JOHN P.MAGUFULI
SIJAAMUA (UNDECIDED)
See results votepolls
Kura Yako Inaangukia Kwa Nani?

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

POLL YA VJIMAMBO BLOG NANI NI CHAGUO LAKO

NANI UNGEPENDA AWE RAIS WA TANZANIA AWAMU YA 5
JOHN MAGUFULI (CCM)EDWARD LOWASSA (CHADEMA- UKAWA)ANNA MGHWIRA (ACT-WAZALENDO)HASHIM RUNGWE (CHAUMMA)CHIEF YEMBA (ADC)BADO SIJAAMUAQuiz Maker

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania.

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa […]

The post Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA TRAVEL & LOGISTICS SASA CHAGUO NI LAKO KUFARIRISHA MZIGO KWA NDEGE AU MELI BEI NI POA SANA

 WE PIGA SIMU TU NA MZIGO UTAUKUTA DAR ES SLAAM AU POPOTE PALE DUNIANI UNAPOTAKA KUUPELEKA JARIBU LEO AFRIKA TRAVEL & LOGISTICS KWA AJILI YAKO WAKATI WOWOTE HUDUMA ILIYO BORA KWA HARAKA NA UFANISI KWANI KWETU MTEJA NI MFALME.

 

10 years ago

Mwananchi

Nani wa kuiwakilisha Ukawa urais 2015?

Ni takriban miezi minne sasa tangu vyama vinne vya upinzani nchini kupitia ushirikiano wao walioupa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kusaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote zijazo.

 

10 years ago

Vijimambo

Makongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?


Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.
Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo

Historia yake Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP

Historia yake Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yake Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani