Nani wa kuiwakilisha Ukawa urais 2015?
Ni takriban miezi minne sasa tangu vyama vinne vya upinzani nchini kupitia ushirikiano wao walioupa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kusaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote zijazo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bdHbT4Cltf8/VcVL7ns0viI/AAAAAAAD2nk/nLeqWYFqSnk/s72-c/70404135c41d3009bbdf534d4ed573e2.jpg)
KURA YA URAIS 2015 NANI CHAGUO LAKO?
![](http://3.bp.blogspot.com/-bdHbT4Cltf8/VcVL7ns0viI/AAAAAAAD2nk/nLeqWYFqSnk/s640/70404135c41d3009bbdf534d4ed573e2.jpg)
JOHN P.MAGUFULI
SIJAAMUA (UNDECIDED)
See results votepolls
Kura Yako Inaangukia Kwa Nani?
10 years ago
VijimamboMakongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?
Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.
Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Mwananchi16 Jan
Urais 2015: Ukawa waanza safari
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ukawa kusimamisha mgombea urais 2015
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi
11 years ago
Tanzania Daima02 May
UKAWA: Mgombea urais mmoja 2015
HATIMAYE Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeweka hadharani dhamira yake ya kutaka vyama vinavyounda umoja huo kumsimamisha mgombea mmoja kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Hatua hiyo ilitangazwa hadharani jana na...
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Ukawa wabuni mbinu mpya ya urais 2015
KIKAO cha pamoja kilichowakutanisha viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimetoa mikakati ya pamoja ikiwamo kuandaa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya urais kwa kila chama.
Hatua hiyo imekuja baada ya kikao cha siri cha siku mbili kilichowakutanisha viongozi wa juu wa Ukawa ambao ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, Freeman Mbowe (Chadema), James Mbatia (NCCR-Mageuzi) na Dk. Emmanuel Makaidi (NLD).
Chanzo cha kuaminika kiliambia MTANZANIA jana kuwa katika kikao...
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo