UKAWA: Mgombea urais mmoja 2015
HATIMAYE Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeweka hadharani dhamira yake ya kutaka vyama vinavyounda umoja huo kumsimamisha mgombea mmoja kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Hatua hiyo ilitangazwa hadharani jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0sI9XvT2FyIyDZtXgF69O4RvkTy9ObO1stJ2ttqTID9wpFclw9HKUk5g8utqZUZ0sMMEr-1qZgvHJBH99n22yf/Ibrahim_Lipumba.jpg?width=650)
KIKWAZO CHA UKAWA KUSIMAMISHA MGOMBEA MMOJA WA URAIS
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Prof. Lipumba: UKAWA mgombea mmoja 2015
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa, Profesa. Ibrahimu Lipumba, amevitaka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kumsimamisha mgombea mmoja wa urais ambaye atakishinda Chama cha Mapinduzi (CCM)...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ukawa kusimamisha mgombea urais 2015
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ukawa waazimia kusimamisha mgombea mmoja
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NoB87ZLItfI/U3FU3CQL8vI/AAAAAAABJvQ/hYU0xIg-qCU/s72-c/ukawa.jpg)
Ukawa waungwa mkono mgombea mmoja
![](http://3.bp.blogspot.com/-NoB87ZLItfI/U3FU3CQL8vI/AAAAAAABJvQ/hYU0xIg-qCU/s640/ukawa.jpg)
Aliyekuwa mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Mwesiga Baregu, alisema lengo la kuundwa kwa Ukawa lilikuwa ni kuunganisha nguvu kusaidia mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ambayo alidai kupinduliwa.
Prof. Baregu, alisema maazimio ya Ukawa...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Lubuva: Mgombea mmoja ukawa sawa
10 years ago
Habarileo12 Jul
Mjadala mgombea mmoja Ukawa bado siri
UPATIKANAJI wa mgombea mmoja wa urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeendelea kujadiliwa katika kikao cha siri cha vyama hivyo, huku hali ikijionesha kuwepo kwa mvutano baina ya vyama vikuu katika umoja huo.