Lubuva: Mgombea mmoja ukawa sawa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva amesema mpango wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wa kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu mwakani ni halali kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Oct
MGOMBEA MMOJA UKAWA NI HALALI KISHERIA ASEMA LUBUVA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2493776/highRes/855555/-/maxw/600/-/xd45lo/-/mbowe_lipumba.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NoB87ZLItfI/U3FU3CQL8vI/AAAAAAABJvQ/hYU0xIg-qCU/s72-c/ukawa.jpg)
Ukawa waungwa mkono mgombea mmoja
![](http://3.bp.blogspot.com/-NoB87ZLItfI/U3FU3CQL8vI/AAAAAAABJvQ/hYU0xIg-qCU/s640/ukawa.jpg)
Aliyekuwa mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Mwesiga Baregu, alisema lengo la kuundwa kwa Ukawa lilikuwa ni kuunganisha nguvu kusaidia mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ambayo alidai kupinduliwa.
Prof. Baregu, alisema maazimio ya Ukawa...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ukawa waazimia kusimamisha mgombea mmoja
11 years ago
Tanzania Daima02 May
UKAWA: Mgombea urais mmoja 2015
HATIMAYE Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeweka hadharani dhamira yake ya kutaka vyama vinavyounda umoja huo kumsimamisha mgombea mmoja kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Hatua hiyo ilitangazwa hadharani jana na...
10 years ago
Habarileo12 Jul
Mjadala mgombea mmoja Ukawa bado siri
UPATIKANAJI wa mgombea mmoja wa urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeendelea kujadiliwa katika kikao cha siri cha vyama hivyo, huku hali ikijionesha kuwepo kwa mvutano baina ya vyama vikuu katika umoja huo.
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Prof. Lipumba: UKAWA mgombea mmoja 2015
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa, Profesa. Ibrahimu Lipumba, amevitaka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kumsimamisha mgombea mmoja wa urais ambaye atakishinda Chama cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0sI9XvT2FyIyDZtXgF69O4RvkTy9ObO1stJ2ttqTID9wpFclw9HKUk5g8utqZUZ0sMMEr-1qZgvHJBH99n22yf/Ibrahim_Lipumba.jpg?width=650)
KIKWAZO CHA UKAWA KUSIMAMISHA MGOMBEA MMOJA WA URAIS
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR
Mauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9iQdVgD7Kbs/VepIvocO0VI/AAAAAAABgFk/BbGHOKLg2Dw/s72-c/Kasim%2BMsham.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"
![](http://2.bp.blogspot.com/-9iQdVgD7Kbs/VepIvocO0VI/AAAAAAABgFk/BbGHOKLg2Dw/s640/Kasim%2BMsham.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5eDMxtuCzGE/VepIm1dnDxI/AAAAAAABgFE/xIvF9zITspE/s640/umati%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mwdG9uRX5fY/VepIvXFuVjI/AAAAAAABgFg/_onu9TBogyk/s640/umati.jpg)