Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR

Jaji LubuvaMauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sitta ajibu mapigo, Ukawa wabanwa

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amejibu mapigo ya wanaozungumzia mchakato wa Katiba mpya nje ya Bunge Maalumu. Amesema Bunge hilo lipo kihalali na lina haki ya kujadili na hata kuongeza sura, ili kuifanya Katiba kuwa imara na yenye kujibu matakwa ya wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva: Hakuna Kura ya Maoni bila uandikishaji BVR kukamilika

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (Nec), Jaji mstaafu Damian Lubuva amesisitiza kuwa Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa haitafanyika mpaka uandikishaji watu katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ukamilike.

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

 

11 years ago

Mwananchi

Manji ajibu mapigo

>Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amewashangaa wanachama wanaopinga uongozi wake kukaa madarakani kwa mwaka mmoja zaidi na kuwataka kujiorodhesha watakapofikia 1560 atakuwa tayari kuitisha mkutano ili kujiuzulu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji Msigwa ajibu mapigo

WAZIRI Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, amewataka wamiliki wa Kampuni ya uwindaji ya kitalii ya Green Mile Safari Ltd (GMS), wajibu hoja za msingi dhidi ya tuhuma...

 

9 years ago

Mwananchi

Sumaye ajibu mapigo ya CCM

Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.

 

9 years ago

Vijimambo

Kiiza ajibu mapigo Yanga

HAMISI Kiiza jana alituma salamu kwa Yanga baada ya kuifungia Simba mabao matatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Hizo ni salamu kwa Yanga kupitia mchezaji wake huyo wa zamani kwani watani hao wa jadi Jumamosi watamenyana kwenye uwanja huo.

Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sugu ajibu mapigo ya CCM

BAADA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kumshambulia Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), ukimuita mpangaji katika jimbo hilo, amewajibu akisema kuwa wanaota ndoto za mchana....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiku Abwao ajibu mapigo

MBUNGE wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), amewashukia wanaomzushia kuwa amewasaliti wenzake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani