Jaji Lubuva: Hakuna Kura ya Maoni bila uandikishaji BVR kukamilika
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (Nec), Jaji mstaafu Damian Lubuva amesisitiza kuwa Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa haitafanyika mpaka uandikishaji watu katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ukamilike.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania