Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mashine 1,600 zaidi za BVR zawasili nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema uandikishaji wa wananchi kwenye Daftari la Wapigakura nchini utamalizika mwishoni wa mwezi ujao baada ya mashine 1,600 zaidi za kielektroniki kwa ajili ya kazi hiyo kuwasili juzi.

 

10 years ago

Mtanzania

Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR

Jaji LubuvaMauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi:Tanzania kutumia Mashine za BVR

Tanzania kuendelea kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration - BVR

 

10 years ago

Mwananchi

Mashine za BVR zaongezwa, mizozo yaibuka

Wakati mashine za Biometric Voters Registration (BVR) zikiongezwa kulingana na mahitaji, zogo limezuka kwenye Kituo cha Mtaa wa Saranga, Kimara baada ya wananchi waliojiorodhesha kufikia 10,000 huku kukiwa na mashine tatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wingi wa mashine za BVR waongeza gharama

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kupanda kwa gharama za kampuni iliyoshinda tenda ya kuleta nchini mashine za kisasa za kuandikisha wapigakura za Biometric Voters Registration (BVR) inatokana na idadi ya mashine hizo kuongezeka kutoka 12,000 hadi 15,500.

 

11 years ago

Habarileo

NEC:Gharama mashine za BVR ndogo

GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).

 

10 years ago

Mtanzania

Mashine za BVR zagoma tena Makambako

Na Michael Mapollu, Makambako
UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.
Kazi hiyo iliingia dosari jana katika Mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza uandikishaji huo.
Tatizo hilo lilibainika baada ya mashine nyingi zilizopangwa kufanikisha kazi hiyo kutofanya kazi katika baadhi ya vituo vilivyotengwa kwa ajili ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashine za BVR zageuka biashara jijini Arusha

Kinamama wakifanyabiashara ya Mama ntilie katika kituo cha kupiga kura cha kata ya Sombetini, vituo vya kujiandikisha vinakabiliwa na idadi kubwa ya watu hali inayopelekea foleni ndefu na watu kukesha kwenye vituo. Zoezi la Uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa kisasa wa BVR umechukua sura mpya kutokana na baadhi ya watu kuwauzia watu nafasi za kuingia katika vituo vya kujiandikishia hivyo kugeuka biashara  kwa wanaokwepa foleni ndefu na kukesha katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva: Hakuna Kura ya Maoni bila uandikishaji BVR kukamilika

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (Nec), Jaji mstaafu Damian Lubuva amesisitiza kuwa Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa haitafanyika mpaka uandikishaji watu katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ukamilike.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani