Wingi wa mashine za BVR waongeza gharama
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kupanda kwa gharama za kampuni iliyoshinda tenda ya kuleta nchini mashine za kisasa za kuandikisha wapigakura za Biometric Voters Registration (BVR) inatokana na idadi ya mashine hizo kuongezeka kutoka 12,000 hadi 15,500.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jul
NEC:Gharama mashine za BVR ndogo
GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mashine za TRA zanunuliwa kwa wingi
AGIZO la Serikali la kutaka wafanyabiashara kununua na kutumia mashine za kielektroniki (EFD), limeanza kutekelezwa kwa kasi mkoani hapa. Hatua hiyo inatokana na kile kilichoelezwa kuwa wafanyabiashara wakubwa, wameziingiza kwa wingi mashine hizo na kuuzia wenzao kwa bei ndogo.
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Mashine za BVR zagoma tena Makambako
Na Michael Mapollu, Makambako
UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.
Kazi hiyo iliingia dosari jana katika Mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza uandikishaji huo.
Tatizo hilo lilibainika baada ya mashine nyingi zilizopangwa kufanikisha kazi hiyo kutofanya kazi katika baadhi ya vituo vilivyotengwa kwa ajili ya...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Uchaguzi:Tanzania kutumia Mashine za BVR
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mashine za BVR zaongezwa, mizozo yaibuka
10 years ago
Mwananchi31 May
Mashine 1,600 zaidi za BVR zawasili nchini
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
Mashine za BVR zageuka biashara jijini Arusha
10 years ago
MichuziMASHINE ZA BVR AWAMU YA PILI KUPELEKWA MIKOA SABA
Mikoa iliyopangwa kuanza kupokea mashine hizi ni mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Wakati zozi likianza mikoa hiyo nyingine zitakuwa zinapelekwa katika mikoa ya Katavi, Mbeya na Dodoma. Mikoa mimgine ni Singida Tabora Geita na Kigoma.
Mkuu wa kitengo cha Ufundi wa idara ya Daftrari/ICT wa NEC Dr Sisit Cariah, Akizungumza na mwandishi wetu...