MASHINE ZA BVR AWAMU YA PILI KUPELEKWA MIKOA SABA
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Nchini Tanzania itaanza kusambaza mashine za BVR 248 katika mikoa saba nchni Tanzania Kuanzia katikati mwa wiki ijayo.
Mikoa iliyopangwa kuanza kupokea mashine hizi ni mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Wakati zozi likianza mikoa hiyo nyingine zitakuwa zinapelekwa katika mikoa ya Katavi, Mbeya na Dodoma. Mikoa mimgine ni Singida Tabora Geita na Kigoma.
Mkuu wa kitengo cha Ufundi wa idara ya Daftrari/ICT wa NEC Dr Sisit Cariah, Akizungumza na mwandishi wetu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMASHINE ZA BVR AWAMU YA PILI KUPELEKWA MIKOA SABA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ucNeSo821Uo/Xph5-pLvMOI/AAAAAAABMAM/L9NcHzV_vBA7PVHuwCiw_JS7omceL8_rwCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
UWEKAJI WAZI NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI KUANZA KESHO APRILI 17 KATIKA MIKOA 12
![](https://1.bp.blogspot.com/-ucNeSo821Uo/Xph5-pLvMOI/AAAAAAABMAM/L9NcHzV_vBA7PVHuwCiw_JS7omceL8_rwCLcBGAsYHQ/s400/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
Mwenyekiti wa NEC, Jajia mstaafu Semistocles Kaijage
Na Richard Mwaikenda
UWEKAJI wazi wa Daftari la Awali na Uboreshaji wa Daftari Wapiga Kura Awamu ya Pili, unaanza rasmi kesho Ijumaa 17 Aprili, 2020. na kukamilika Mei 4, 2020 kwa Nchi nzima.
Hayo yametangazwa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage (pichani) wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya siiasa na wadau wengine kwenye Ukumbi wa Mikutano wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s72-c/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
Kagurumjuli awataka BVR Kits Operators, wandishi waSaidizi kuzingatia kanuni na taratibu katika uboreshaji awamu ya pili daftari la mpigakura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s640/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnknabWLYzg/XqwARkq4BVI/AAAAAAALowU/5rCse9uaY-0uIxzHY-ELOlKSaNPM9Zv4gCLcBGAsYHQ/s640/d6b363db-571b-4a89-ac0d-14fa7e841ce2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cKengaOQx5s/XqwAQOqUTrI/AAAAAAALowI/6f6LMh5U8d81rr0gZqOSu3wKjGpr2p1wACLcBGAsYHQ/s640/85def334-f6d5-408b-857c-e6c1727e64c5.jpg)
Watumishi wa BVR Oparetas Kts na waandishi wa saidizi wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya kutumia mashine hizo pindi watakapokuwa kwenye majukumu ya kuwahudumia wananchi watakaofika kuhakiki taarifa zao ili waweze kupata kitambulisho cha mpiga kura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ilnMkyxbX8k/XqwAQI1jLVI/AAAAAAALowM/1ehw_uo0Hb0o6-qMLi5vEGWGrTv7QcFrQCLcBGAsYHQ/s640/c9ef0a25-435c-4ec7-b97e-4740133b31b7.jpg)
Afisa mwandikishaji ambaye ndio Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Bwana Aron Kagurumjuli akizungumza na watumishi hawapo pichani waliokuwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura katika shule ya msingo...
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
MichuziKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI-KAMPENI GOGOTA
Picha/Habari na Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu...
11 years ago
Habarileo11 Jul
NEC:Gharama mashine za BVR ndogo
GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Wingi wa mashine za BVR waongeza gharama