Mashine za BVR zagoma tena Makambako
Na Michael Mapollu, Makambako
UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.
Kazi hiyo iliingia dosari jana katika Mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza uandikishaji huo.
Tatizo hilo lilibainika baada ya mashine nyingi zilizopangwa kufanikisha kazi hiyo kutofanya kazi katika baadhi ya vituo vilivyotengwa kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Kenya, Nigeria zagoma kuiazima Tanzania BVR
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Dk Magufuli atoa mpya tena afanya mazoezi ya nguvu jukwaani Makambako
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akifanya mazoezi jukwaani akijiandaa kujinadi kwa wananchi katika Mji wa Makambako, mkoani Njombe leo, jambo ambalo lilizua vifijo, nderemo na vigelegele kutoka kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wa kampeni.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende...
11 years ago
Habarileo11 Jul
NEC:Gharama mashine za BVR ndogo
GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Wingi wa mashine za BVR waongeza gharama
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mashine za BVR zaongezwa, mizozo yaibuka
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Uchaguzi:Tanzania kutumia Mashine za BVR
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
Mashine za BVR zageuka biashara jijini Arusha
10 years ago
Mwananchi31 May
Mashine 1,600 zaidi za BVR zawasili nchini