Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa waungwa mkono mgombea mmoja

Baada ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kukubaliana kumsimamisha mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi mkuu mwakani, baadhi ya wasomi na viongozi wa asasi za kiraia wameunga mkono hatua hiyo.

Aliyekuwa mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Mwesiga Baregu, alisema lengo la kuundwa kwa Ukawa lilikuwa ni kuunganisha nguvu kusaidia mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ambayo alidai kupinduliwa.

Prof. Baregu, alisema maazimio ya Ukawa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lubuva: Mgombea mmoja ukawa sawa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva amesema mpango wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wa kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu mwakani ni halali kisheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waazimia kusimamisha mgombea mmoja

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wametoa tamko rasmi la kuungana na kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu wa rais na wabunge.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Mgombea urais mmoja 2015

HATIMAYE Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeweka hadharani dhamira yake ya kutaka vyama vinavyounda umoja huo kumsimamisha mgombea mmoja kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Hatua hiyo ilitangazwa hadharani jana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Msimamo wa Maalim Seif waungwa mkono

Wanasheria na wanasiasa Zanzibar, wameunga mkono msimamo wa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad wa kupinga kampeni ya hapana kupinga Katiba iliyopendekezwa kupitishwa na wananchi kwa sababu imelenga kufuta hadhi ya Zanzibar kuwa nchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ulinzi miundombinu ya DART waungwa mkono

Pendekezo la Kamati ya kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kuharakisha uundwaji wa Kikosi Kazi cha ulinzi kwenye miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo...

 

10 years ago

Habarileo

Mjadala mgombea mmoja Ukawa bado siri

Dk Willbrod SlaaUPATIKANAJI wa mgombea mmoja wa urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeendelea kujadiliwa katika kikao cha siri cha vyama hivyo, huku hali ikijionesha kuwepo kwa mvutano baina ya vyama vikuu katika umoja huo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Lipumba: UKAWA mgombea mmoja 2015

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa, Profesa. Ibrahimu Lipumba, amevitaka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kumsimamisha mgombea mmoja wa urais ambaye atakishinda Chama cha Mapinduzi (CCM)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Meck sadiq na Kabwe waungwa mkono Dar

RC-Dar-es-Salaam

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiq.

Na Mwandishi wetu

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamemuunga mkono Mkuu wa Mkoa Saidi Meck Sadiq, na Mkurugenzi wa Jiji Wilson Kabwe kwa hatua walizochukua dhidi ya wamachinga.

Kufuatia uungwaji mkono wakaazi hao wamemtaka Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), kuacha kuwatetea wafanyabiashara wadogo (Wamachinga), wanaofanya biashara katika maeneo ya siyo rasmi.

Hivi karibuni Mbunge huyo, akiwa bungeni alikaririwa na vyombo vya...

 

10 years ago

GPL

KIKWAZO CHA UKAWA KUSIMAMISHA MGOMBEA MMOJA WA URAIS

Prof. Ibrahim Lipumba. Stori: mwandishi wetu
PRESHA  inazidi kuongezeka kila kukicha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015 ambapo sarakasi mbalimbali za kisiasa zinaendelea kuchezwa na wafuasi wa vyama vyote bila kujali chama tawala au vyama vya upinzani. Uwazi Mizengwe limebaini kuwa macho na masikio ya wengi, yameelekezwa kwenye muungano wa vyama vinne vya kisiasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani