UCHAGUZI CCM 2015: Makongoro Nyerere: Mbunge wa Afrika Mashariki
>Makongoro Nyerere ni mtoto wa tatu wa Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kwa sasa ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
10 years ago
VijimamboMakongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?
Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.
Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa...
10 years ago
Mwananchi11 May
UCHAGUZI CCM 2015: Edward Lowassa: Mbunge wa Monduli
>Edward Lowassa alizaliwa Agosti 26, 1953 katika Kijiji cha Ngarash, Monduli na ndiye mtoto mkubwa wa kiume kwa Mzee Ngoyai Lowassa (atafikisha miaka 62 Agosti mwaka huu). Alianza kusoma katika Shule ya Msingi Monduli kati ya mwaka 1961–1967.
10 years ago
Mwananchi01 May
UCHAGUZI CCM 2015: Profesa Sospeter Muhongo, Mbunge wa Kuteuliwa
>Profesa Sospeter Muhongo alizaliwa katika Wilaya ya Musoma Mjini, mkoani Mara Juni 25, 1954 (atatimiza miaka 61 Juni mwaka huu). Alianza shule ya msingi mkoani Mara na kuendelea na masomo ya sekondari (kidato cha I – VI) katika shule mbalimbali hapa nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vwQaXT35C*P--XRJ7a*1AADFMPcrS6js14UPfok8PYIQupk1x9pbdvsu3jIXX7Mh3VI*6mm1ai3Q33Nraea5Ri/MAKONGORO.jpg?width=650)
MAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA
Makongoro Nyerere wakati wa zoezi la kutangaza nia jana. Makongoro Nyerere baada ya kuvishwa vazi aina ya mgolole. Makongoro akifanyiwa maombi wakati wa…
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dwIpE_Wlqd4/XuNIhyic_II/AAAAAAACNEM/_hXoLYwtjfkVHtfqDVRRlCfPtI-mawsowCLcBGAsYHQ/s72-c/MBUNGE2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U86T7URQ8e0/XuHXGDxyDmI/AAAAAAACM8E/f0Kf48ZkEM0zRAhh0XOsoQbfsNJ74z8lQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200611-WA0033.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-naj2kl_eRqE/U6HRv2I8ojI/AAAAAAAFrjw/AKTfgAy3n1U/s72-c/9d24aca1d59fb2de8f6702ee906e865d.jpg)
Mbunge wa Afrika mashariki aonesha namna ya kukwepa foleini za Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-naj2kl_eRqE/U6HRv2I8ojI/AAAAAAAFrjw/AKTfgAy3n1U/s1600/9d24aca1d59fb2de8f6702ee906e865d.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-apnuq13vzlw/VotFOa_2SsI/AAAAAAAAZA8/Hl4PPvbWugc/s72-c/IMG_3315%2B%25281024x683%2529.jpg)
MBUNGE WA AFRIKA MASHARIKI NDELAKINDO KESSY AWAKUMBUKA WATOTO KATIKA KUUANZA MWAKA 2016.
![](http://1.bp.blogspot.com/-apnuq13vzlw/VotFOa_2SsI/AAAAAAAAZA8/Hl4PPvbWugc/s640/IMG_3315%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlxrcBXfib4/VotFUkWdEQI/AAAAAAAAZBU/zd7Dgp9xy28/s640/IMG_3334%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p5oAHWrHyS4/VotFXV3gcBI/AAAAAAAAZBc/JUZOPW3zXuc/s640/IMG_3335%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B9-LDrW5jdM/VotFZUDXQcI/AAAAAAAAZBk/XdbmYJJWWYI/s640/IMG_3336%2B%25281024x683%2529.jpg)
PICHA ZAIDI...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania