MAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA
![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vwQaXT35C*P--XRJ7a*1AADFMPcrS6js14UPfok8PYIQupk1x9pbdvsu3jIXX7Mh3VI*6mm1ai3Q33Nraea5Ri/MAKONGORO.jpg?width=650)
Makongoro Nyerere wakati wa zoezi la kutangaza nia jana. Makongoro Nyerere baada ya kuvishwa vazi aina ya mgolole. Makongoro akifanyiwa maombi wakati wa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Wj8DUpBCRUU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Jun
Sentensi kumi za Makongoro Nyerere kuhusu yeye na wanawake, ulevi na kutangaza nia.. (Sauti)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/makongoro_charles-1764x700.jpg?resize=572%2C226)
Headlines zenye stori za Siasa zimeendelea kutawala.. Makongoro Nyerere ni Mbunge anaewakilisha TZ kwenye Bunge la Afrika Mashariki, nae alikuwa nyumbani kwao Butiama, hapa nimenukuu sehemu ya kile aichokisema akiwa huko.
Utamsikiliza kwa urefu zaidi kila alichokisema kwenye sauti hii mtu wangu. CREDIT:MILLARDAYO.COM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
steve nyerere atangaza nia
![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QmRFQRFpoASd0Beh4PvC9zo*0oKeOwfozgmsU3uKMpfHbnLfGTt5vQmp9kc9ZS9imQlqi7xdNwo95AsDjLXPTjMuVKo0mLkb/membe.jpg)
MEMBE ATANGAZA NIA YA URAIS, AAHIDI KUPAMBANA NA RUSHWA, KUBORESHA MICHEZO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyXd96BV-i864U3jj7c-w5u4GPpOv1pw8uJPn8tC*fhmNvxHdXFLjfcFCkPKK4*K5O7TkqPGE7ufj457OR1r9-R/1.jpg)
STEVE NYERERE ATANGAZA NIA YA KULIWANIA JIMBO LA KINONDONI
10 years ago
Vijimambo05 Jun
Ngeleja atangaza nia ya kuwania Urais asema" Nitapambana na maadui sita"
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2740800/highRes/1027308/-/maxw/600/-/8uuviez/-/pic+ngeleja.jpg)
Mwanza. Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.Akitangaza nia hiyo kwenye Ukumbi wa Benki...
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Makongoro: Naomba kibali niiokoe CCM dhidi ya rushwa
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Nyalandu atangaza nia na kuchukua fomu, asema uwekezaji kwenye rasilimali umma ni muhimu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu na mkewe Bi.Faraja Nyalandu wakiingia uwanja wa Namfua Mjini Singida kabla ya kuhutubia wananchi kwa kutangaza nia ya kugombea Urais.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Wilaya wa Singida, Barnabas Hanje kabla kutangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania kwenye mkutano uliofanyika uwanja wa Namfua Mjini Singida.
Bi. Faraja Nyalandu akiongea na wananchi kabla ya hotuba ya mumewe Mhe. Lazaro...