MEMBE ATANGAZA NIA YA URAIS, AAHIDI KUPAMBANA NA RUSHWA, KUBORESHA MICHEZO
![](http://api.ning.com:80/files/QmRFQRFpoASd0Beh4PvC9zo*0oKeOwfozgmsU3uKMpfHbnLfGTt5vQmp9kc9ZS9imQlqi7xdNwo95AsDjLXPTjMuVKo0mLkb/membe.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, hivi punde ametangaza nia ya kuwania urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa Viwanja vya CCM mkoani Lindi. Katika hotuba yake, Mhe. Membe amesema akipata fursa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atapambana na rushwa, kuboresha elimu, afya, uchumi, michezo na sanaa, kuimarisha ulinzi na kusimamia muungano. Kauli mbiu ya kiongozi huyo ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Waziri Membe atangaza nia ya kugombea urais — Lindi leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania leo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakilakiwa na wana CCM na wakazi wa Lindi alipowasili katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-B56aPKKJOjs/VXQlgtrtK2I/AAAAAAADqUo/p8dwA4sfB68/s72-c/2.jpg)
WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS - LINDI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-B56aPKKJOjs/VXQlgtrtK2I/AAAAAAADqUo/p8dwA4sfB68/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MNZfTATmpY/VXQlo8gqe2I/AAAAAAADqU4/u5Cj-DI4Ytg/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ee-10PmCW5Q/VXQjlEEbnvI/AAAAAAAHcvM/CCpotnPGsIE/s72-c/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ee-10PmCW5Q/VXQjlEEbnvI/AAAAAAAHcvM/CCpotnPGsIE/s640/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rAFo5DPopPg/VXQjlPQICfI/AAAAAAAHcvI/MJ0Os5aiKHM/s640/unnamed%2B%252896%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vwQaXT35C*P--XRJ7a*1AADFMPcrS6js14UPfok8PYIQupk1x9pbdvsu3jIXX7Mh3VI*6mm1ai3Q33Nraea5Ri/MAKONGORO.jpg?width=650)
MAKONGORO NYERERE ATANGAZA NIA, ASEMA ATAIOKOA CCM NA RUSHWA
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Mhe. Membe Aahidi Kuendeleza Diplomasia ya Michezo
10 years ago
MichuziNYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
Mwananchi31 May
Sitta atangaza nia ya urais ‘kiaina’
10 years ago
VijimamboMH. SAMUEL SITTA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mheshimiwa Samuel Sitta leo hii alitangaza rasmi nia yake kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Alitangaza nia yake hiyo mbele ya mamia ya wakazi wa kata ya Itetemia, Tabora mjini na wilaya za jirani na mji wa Tabora.Akieleza sababu tano zilizomfanya atangaze nia yake ambazo ni
1.Muungano
Toka pande zetu mbili za muungano zinatolewa kauli na pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s72-c/MMGL2459.jpg)
EDWARD LOWASSA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s640/MMGL2459.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGfCm4-z__I/VWniRuyE-7I/AAAAAAAHay4/WjUvF_HATeU/s640/MMGL2479.jpg)