OSTAZ JUMA NAYE KUTANGAZA NIA SOON!
![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4QLYHZGpwUtqrMN*zT1HpY0xM9C-Lfwe1*UV4lcjcZnpYFZFIolPcF-*-7xfrinxTAqKwSoh2v0zicnm3bP9F5/11722103_428945650611202_5672213971812156064_o.jpg?width=650)
Ostaz Juma Namusoma akiwa ndani ya vazi aliloliita la 'Bungeni' HII KALI! Mdau na promota wa muziki wa bongo fleva aliyejichimbia kwa muda mrefu, ameibuka na kali nyingine, safari hii ni kwenye uwanja wa siasa. Kupitia ukurasa wake wa Facebook na Instagram, Ostaz ametupiamo picha hiyo hapo juu akisindikiza na maneno 'muonekano wa bungeni' na hivyo kuzidisha ule uvumi ulioenea siku za hivi karibuni kuwa naye anataka kugombea...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Ostaz Juma Namusoma ajituma
MKURUGENZI wa kundi la Mtanashati Entertainment, Ostaz Juma Namusoma, amesambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Najituma’ ambayo imeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio. Katika wimbo huo,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2lsstfFHVuwVsldJpH0rqmKnkny3Q5Q*7p6s9MbjSVijDcoX4Tq7YXovpA3v9kxBX6lHYGvHHQ7kBdBEwIjwq3/JOHARI.jpg?width=650)
JOHARI,OSTAZ JUMA VITANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49ZnIQ*xJ4acBDSZbwEJA0k5v5sSY2D*WRGslZGJu93dK81mWZWkU*5-bIbMclwFnL8w8lap*rlBvUhoHF9qtON*/ostazj.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA KUMVAA NIMROD MKONO!
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Fella amponda Ostaz Juma Namusoma
MENEJA mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini ‘Bongo Fleva,’ Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amemponda Meneja na mmiliki wa ‘lebo’ ya Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma, kwa kitendo cha kupigiwa magoti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIyQzSH7eyiUzftSEwcIYVjM1mqbaXwqQx9qBG57sv*2tQA-eTzusPzsZ1sSlbx6NWBkfjITpGqpJIh**e8wpjk/ostazi.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFzeCMzdC-qf*mNDdducD09rtZU0JGhV*an6clOCfLm4pdkMmPEb4EvxUI1K2ONarSDCWbAMDAgHN4AoxYgeiP1m/OSTAZJUMA.jpg)
OSTAZ JUMA AMUANIKA MKEWE NA MTOTO WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjIF1GHXHKb0K*PB2Rg*1cT*uoYeY8RN5MFsuyroGPJ4C8J-sFwTS3rdUgnQB*4t1roE0q1WeOejxfQJ9B14uP55/mademuwakizungu.jpg)
OSTAZ JUMA ATUPIA DONGO KWA WAPENDA MADEM WA KIZUNGU!