Ostaz Juma Namusoma ajituma
MKURUGENZI wa kundi la Mtanashati Entertainment, Ostaz Juma Namusoma, amesambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Najituma’ ambayo imeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio. Katika wimbo huo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Fella amponda Ostaz Juma Namusoma
MENEJA mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini ‘Bongo Fleva,’ Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amemponda Meneja na mmiliki wa ‘lebo’ ya Mtanashati, Ostaz Juma Namusoma, kwa kitendo cha kupigiwa magoti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2lsstfFHVuwVsldJpH0rqmKnkny3Q5Q*7p6s9MbjSVijDcoX4Tq7YXovpA3v9kxBX6lHYGvHHQ7kBdBEwIjwq3/JOHARI.jpg?width=650)
JOHARI,OSTAZ JUMA VITANI
Stori: Sifael Paul na Erick Evarist NI mtafutano! Staa mkubwa wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameingia kwenye vita ya maneno na bosi wa Mtanashati Entertainment, Ostaz Juma Namusoma ikiwa ni siku chache tangu jamaa huyo alipotangaza kumuoa mwanadada huyo. Staa mkubwa wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Wakizungumza na Risasi Jumamosi kwa nyakati tofauti, kila mmoja alitoa la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49ZnIQ*xJ4acBDSZbwEJA0k5v5sSY2D*WRGslZGJu93dK81mWZWkU*5-bIbMclwFnL8w8lap*rlBvUhoHF9qtON*/ostazj.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA KUMVAA NIMROD MKONO!
Ostaz Juma katika Pozi Ostaz Juma alipokuwa nje ya nchi Baada ya kimya cha muda mrefu na baada ya tetesi kuwa Ostaz Juma naye anajituma kwenye siasa, hatimaye ameibuka na kufungukia ishu ya Ubunge kuwa ni kweli anajiandaa kujitosa kwenye siasa. Juzi mtandao huu uliripoti kile ambacho alikiposti Ostaz Juma kwenye mtandao wake wa Instagram ambacho kiliashiria kujiandaa kuingia Bungeni ambapo baada ya kuibuka kwa stori hiyo, Ostaz...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4QLYHZGpwUtqrMN*zT1HpY0xM9C-Lfwe1*UV4lcjcZnpYFZFIolPcF-*-7xfrinxTAqKwSoh2v0zicnm3bP9F5/11722103_428945650611202_5672213971812156064_o.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA NAYE KUTANGAZA NIA SOON!
Ostaz Juma Namusoma akiwa ndani ya vazi aliloliita la 'Bungeni' HII KALI! Mdau na promota wa muziki wa bongo fleva aliyejichimbia kwa muda mrefu, ameibuka na kali nyingine, safari hii ni kwenye uwanja wa siasa. Kupitia ukurasa wake wa Facebook na Instagram, Ostaz ametupiamo picha hiyo hapo juu akisindikiza na maneno 'muonekano wa bungeni' na hivyo kuzidisha ule uvumi ulioenea siku za hivi karibuni kuwa naye anataka kugombea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIyQzSH7eyiUzftSEwcIYVjM1mqbaXwqQx9qBG57sv*2tQA-eTzusPzsZ1sSlbx6NWBkfjITpGqpJIh**e8wpjk/ostazi.jpg?width=650)
OSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI
Na Gabriel Ng’osha
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi. Ostaz Juma Namusoma katika pozi na Johari. Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo chetu zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFzeCMzdC-qf*mNDdducD09rtZU0JGhV*an6clOCfLm4pdkMmPEb4EvxUI1K2ONarSDCWbAMDAgHN4AoxYgeiP1m/OSTAZJUMA.jpg)
OSTAZ JUMA AMUANIKA MKEWE NA MTOTO WAKE
Ostaz Juma (kushoto) akiwa na mkewe Mariamu na mwanae Hayyat Mariamu Daudi Mtoto Hayyan Juma…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjIF1GHXHKb0K*PB2Rg*1cT*uoYeY8RN5MFsuyroGPJ4C8J-sFwTS3rdUgnQB*4t1roE0q1WeOejxfQJ9B14uP55/mademuwakizungu.jpg)
OSTAZ JUMA ATUPIA DONGO KWA WAPENDA MADEM WA KIZUNGU!
Promota Ostaz Juma Ostaz akipata Selfie katika eneo la Sanamu ya Kumbukumbu ya hayati Mahatma Gandhi ambaye baada ya kufa na kuchomwa moto, sehemu ya majivu yake inaelezwa yalikuja kumwagwa Mto Nile.…
10 years ago
Vijimambo18 Feb
UMEIPENDAJE HII OSTAZ JUMA KUWEKA SIMU NA HEADPHONE KWENYE SAHANI
![](http://api.ning.com/files/Aaa76ACbkjJshLqPaKcfL7IPLkd5twDEMPberWLaM-0xhErWuYKiY9foZ9ZIlDFq5toUs1VzFv8eu-4*QOUm5rnEUOHHjIo5/OstazJuma1.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania