RATIBA YA KUCHUKUA FOMU ZA WAGOMBEA URAIS/ UMAKAMU WA RAIS 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-VJSscSfWNPU/VbuApMt0BZI/AAAAAAABj9g/9i1LRJEOQIE/s72-c/IMG_3383.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-5gKp7zyUS4I/VdXu9_Fzg4I/AAAAAAAAX-w/O5UOSli1gCI/s72-c/nec2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s72-c/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
MAMBO YAMEIVA CCM...WANAOTAKA KUGOMBEA URAIS WAPEWA RATIBA YA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s400/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetengaza rasmi ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tekiti cha Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25,2020.
Akitangaza ratiba hiyo leo Juni 12,2020 jijini Dar es Salaa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema ratiba ya kumpata mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza Juni 15 mpaka...
9 years ago
MichuziPolisi: Wagombea Urais marufuku kuambatana na wapambe waati wa kuchukua, kutafuta wadhamini na kurejesha fomu
Jeshi la Polisi nchini limesitisha maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa wakati wa kuchukua ,kutafuta wadhamini, na kurejesha fomu za kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Naibu Inspekta Jenerali wa jeshi la Polisi Abdulrahman Kaniki (pichani) amesema kuwa jeshi limechukua hatua hiyo kutokana na ukiaukwaji wa sheria za usalama barabarani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kx4EqKeMKJ8/VYkQM_rWFNI/AAAAAAAAfys/_29z5uP5VM0/s72-c/1.png)
Urais 2015: Mwanamke wa 5 ajitosa kuchukua fomu CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-kx4EqKeMKJ8/VYkQM_rWFNI/AAAAAAAAfys/_29z5uP5VM0/s640/1.png)
Mwananmke mwingine ambaye ni kada wa CCM, Ritta Ngowi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama kuwania urais katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu jana makao makuu ya CCM mkoani Dodoma Ngowi alisema akifanikiwa kuwa rais ataanzisha kituo kikubwa cha kuwahudumia wastaafu, walemavu, wasiojiweza na vijana.
Kingine atakachofanya ni kuendeleza mazuri yaliyofanywa na marais waliopita, lakini zaidi akiweka mkazo kwenye masuala ya elimu na kukuza...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s72-c/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
MGOMBE URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASSA KUCHUKUA FOMU TAREHE 10/08/2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s640/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IL2DCYeRztQ/XlXy5VEl8ZI/AAAAAAALfb8/sTc9oZO9HZYqZt1YBKDsx3IwPef5SlpQQCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-02-25-20-52-45.jpg)
RAIS MAGUFULI ACHANGIWA SH.MILIONI MOJA NA JUMUIYA YA WAZAZI ARUSHA KUCHUKUA FOMU YA URAIS
NA ELISA SHUNDA,MONDULI.
UMOJA wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Arusha, Mwishoni Mwa Wiki, Imemkabidhi Mwenyekiti wa Jumuiya Hiyo Taifa Ambaye Pia Ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Hicho, Dk.Edmund Mndolwa, Shilingi Milioni Moja kwa Ajili ya Kumchukulia Fomu ya Kugombea Nafasi ya Urais kwa Awamu ya Pili.Akiongea wakati akimkabidhi Mwenyekiti huyo fedha hizo Katibu mwenezi wa wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mjumbe Wa kamati ya utekelezaji wa jumuiya ya wazazi...
UMOJA wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Arusha, Mwishoni Mwa Wiki, Imemkabidhi Mwenyekiti wa Jumuiya Hiyo Taifa Ambaye Pia Ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Hicho, Dk.Edmund Mndolwa, Shilingi Milioni Moja kwa Ajili ya Kumchukulia Fomu ya Kugombea Nafasi ya Urais kwa Awamu ya Pili.Akiongea wakati akimkabidhi Mwenyekiti huyo fedha hizo Katibu mwenezi wa wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mjumbe Wa kamati ya utekelezaji wa jumuiya ya wazazi...
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
10 years ago
Habarileo18 Jun
Shein kuchukua fomu ya urais Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo anatarajiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s72-c/cuf%2B1.jpg)
WAGOMBEA UWAKILISHI NA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA CUF WAFIKA OFISI ZA ZEC KUCHUKUA FOMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s640/cuf%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u4ooQdXeNNc/VdjJtviPjSI/AAAAAAAB56Q/e9eCuM9tTXE/s640/cuf%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NMMP4Cjq7fY/VdjJtw-0NoI/AAAAAAAB55Q/l7_mE7nm79I/s640/cuf%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YfvF9wQcdk/VdjJuU-wb0I/AAAAAAAB55U/YjQlpS39t-o/s640/cuf%2B4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlTdPR1mbEc/VdjJvBl7nSI/AAAAAAAB55Y/2gnBrRC4KgU/s640/cuf%2B5.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania