Urais 2015: Mwanamke wa 5 ajitosa kuchukua fomu CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-kx4EqKeMKJ8/VYkQM_rWFNI/AAAAAAAAfys/_29z5uP5VM0/s72-c/1.png)
Mwananmke mwingine ambaye ni kada wa CCM, Ritta Ngowi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama kuwania urais katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu jana makao makuu ya CCM mkoani Dodoma Ngowi alisema akifanikiwa kuwa rais ataanzisha kituo kikubwa cha kuwahudumia wastaafu, walemavu, wasiojiweza na vijana.
Kingine atakachofanya ni kuendeleza mazuri yaliyofanywa na marais waliopita, lakini zaidi akiweka mkazo kwenye masuala ya elimu na kukuza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s72-c/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
IDD HAMAD IDD AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s640/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mAkEKFjQKks/XvTLb2Xl5BI/AAAAAAAEYhs/YIdAKE6eG8Ewq3FsriYU0RQ6XWeCkAKigCLcBGAsYHQ/s640/ndg.%2Bidd%2Bhamad%2Bidd%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Habarileo23 Jun
Mwanamke mwingine ajitosa urais CCM
IDADI ya wagombea wanaochukua fomu kwa ajili ya kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana walifikia 39 baada ya mwanachama wake, Ritha Ngowi kuchukua fomu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VJSscSfWNPU/VbuApMt0BZI/AAAAAAABj9g/9i1LRJEOQIE/s72-c/IMG_3383.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s72-c/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
MGOMBE URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASSA KUCHUKUA FOMU TAREHE 10/08/2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s640/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vI5l4JvMTZg/XvM1c3ZdTaI/AAAAAAALvPU/0p7EzyaFLxwCHiYOZLpRt5eltLppjNmFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.13.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s72-c/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
MAMBO YAMEIVA CCM...WANAOTAKA KUGOMBEA URAIS WAPEWA RATIBA YA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s400/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetengaza rasmi ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tekiti cha Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25,2020.
Akitangaza ratiba hiyo leo Juni 12,2020 jijini Dar es Salaa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema ratiba ya kumpata mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza Juni 15 mpaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PsbsBI70oaE/Xuyaa-g_rrI/AAAAAAALulI/M4U2XZRsPMoBxPNR5N2n0kPVujqngGOgACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B11.57.40%2BAM.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA, MWANAMAMA MWATUM SULTAN WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA URAIS CCM ZANZIBAR
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WAZIRI wa Maji wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa, Profesa Makame Mbarawa asubuhi ya leo 19 Juni, amechukua fomu za kutaka kuteuliwa nafasi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makame Mbarawa anakuwa Kada wa 10 leo kuchua fomu baada ya jana 18 Juni Makada 9 kuchukua fomu.
Baada ya tukio hilo la kuchukua fomu, Makame hakuwa tayari kuongea na Wanahabari.
Aidha, kwa mara ya kwanza Kada wa CCM, Mwanamama, Mwatum Mussa Sultan ...