PROF. MAKAME MBARAWA, MWANAMAMA MWATUM SULTAN WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA URAIS CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-PsbsBI70oaE/Xuyaa-g_rrI/AAAAAAALulI/M4U2XZRsPMoBxPNR5N2n0kPVujqngGOgACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B11.57.40%2BAM.jpeg)
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WAZIRI wa Maji wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa, Profesa Makame Mbarawa asubuhi ya leo 19 Juni, amechukua fomu za kutaka kuteuliwa nafasi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makame Mbarawa anakuwa Kada wa 10 leo kuchua fomu baada ya jana 18 Juni Makada 9 kuchukua fomu.
Baada ya tukio hilo la kuchukua fomu, Makame hakuwa tayari kuongea na Wanahabari.
Aidha, kwa mara ya kwanza Kada wa CCM, Mwanamama, Mwatum Mussa Sultan ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s72-c/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s400/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vI5l4JvMTZg/XvM1c3ZdTaI/AAAAAAALvPU/0p7EzyaFLxwCHiYOZLpRt5eltLppjNmFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.13.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s72-c/IMG-20150810-WA0000.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWARD LOWASSA KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s640/IMG-20150810-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aLdBUdKNN28/VchsFwv3mtI/AAAAAAAHvn4/ctEV65OX4ms/s640/IMG-20150810-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khdJO3NGAYE/VchsGoRVQjI/AAAAAAAHvoM/a-5giYSU37Q/s640/IMG-20150810-WA0006.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s72-c/IMG-20150810-WA0000.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWALD LOWASSA (CHADEMA) KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s640/IMG-20150810-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aLdBUdKNN28/VchsFwv3mtI/AAAAAAAHvn4/ctEV65OX4ms/s640/IMG-20150810-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khdJO3NGAYE/VchsGoRVQjI/AAAAAAAHvoM/a-5giYSU37Q/s640/IMG-20150810-WA0006.jpg)
9 years ago
IPPmedia01 Sep
Prof Makame Mbarawa, Communication, Science and Technology minister
IPPmedia
IPPmedia
The government has said the timing of the enactment and application of the much-contested piece of legislation is well-intended and not meant to interfere with the run-up to the October 25 General Election. Tanzania is not the first country to have a ...
10 years ago
VijimamboVIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
10 years ago
MichuziWANA CCM KIBAO WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
10 years ago
Habarileo18 Jun
Shein kuchukua fomu ya urais Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo anatarajiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJBJ7Rw8zSw/XvXjoWwiQ0I/AAAAAAALvhY/VQ_ORKqSnKAwbMUdrwLqIwdWPaRJfOTSACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.56.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...