WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-HJBJ7Rw8zSw/XvXjoWwiQ0I/AAAAAAALvhY/VQ_ORKqSnKAwbMUdrwLqIwdWPaRJfOTSACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.56.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI wa Maji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Profesa Makame Mbarawa amerejesha fomu ya kuwania uteuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea wake wa urais Zanzibar.
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s72-c/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s400/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PjtcdmWVDDA/default.jpg)
9 years ago
Habarileo05 Sep
Seif arejesha fomu ya urais Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amerudisha fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa mara ya tano huku akisema imani yake kubwa kwamba uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki utakaofuata misingi ya uadilifu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZNJ4c14yfaQ/VeszRzgjCMI/AAAAAAAH2fc/Zfs4saDk4qA/s72-c/DSC_2192.jpg)
DK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZNJ4c14yfaQ/VeszRzgjCMI/AAAAAAAH2fc/Zfs4saDk4qA/s640/DSC_2192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktHCb8uLdCs/VeszOz6tWvI/AAAAAAAH2fM/y9zl_p3EZis/s640/DSC_2409.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbstBr_JPLY/VZLL4HIoL7I/AAAAAAAHl5g/EOEZYoQWQ5M/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
DK.Shein Arejesha Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar leo mjini Unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbstBr_JPLY/VZLL4HIoL7I/AAAAAAAHl5g/EOEZYoQWQ5M/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0a6S_908xXs/VZLL4a-D0HI/AAAAAAAHl5o/HYUwG40PyU4/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PsbsBI70oaE/Xuyaa-g_rrI/AAAAAAALulI/M4U2XZRsPMoBxPNR5N2n0kPVujqngGOgACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B11.57.40%2BAM.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA, MWANAMAMA MWATUM SULTAN WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA URAIS CCM ZANZIBAR
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WAZIRI wa Maji wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa, Profesa Makame Mbarawa asubuhi ya leo 19 Juni, amechukua fomu za kutaka kuteuliwa nafasi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makame Mbarawa anakuwa Kada wa 10 leo kuchua fomu baada ya jana 18 Juni Makada 9 kuchukua fomu.
Baada ya tukio hilo la kuchukua fomu, Makame hakuwa tayari kuongea na Wanahabari.
Aidha, kwa mara ya kwanza Kada wa CCM, Mwanamama, Mwatum Mussa Sultan ...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s72-c/unnamed02.jpg)
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s640/unnamed02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkJnI9BklQc/Vds0VwQPlGI/AAAAAAAHzsM/huZA9bFF-2w/s640/unnamed01.jpg)
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s72-c/unnamed02.jpg)
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s640/unnamed02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkJnI9BklQc/Vds0VwQPlGI/AAAAAAAHzsM/huZA9bFF-2w/s640/unnamed01.jpg)
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya...