Shein kuchukua fomu ya urais Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo anatarajiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogKHAMIS MUSSA OMAR AJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR
Kada 17 wa Chama Cha Mapinduzi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar.Ndg. Khamis Mussa Omar ajitikeza kuchukua Fomu ya Urais wa Zanzibar kupitia CCM, hafla hiyo imefanyika leo katika Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia CCM Ndg. Khamis Mussa Omar, alipojitokeza kuchukua fomu hiyo leo katika Afisi Kuu ya CCM Zanzibar. Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg....
5 years ago
CCM BlogMUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
MWANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mussa Aboud Jumbe, akipokea mkoba wenye fomu za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zazibar, kutoka kwa Katibu wa Idara ya Oganaizesheni Zanzibar, Galos Nyimbo, hapo ofisi ya chama Kisiwandui Mjini Unguja. Mussa ni mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Hayati Aboud Jumbe. (PICHA ZOTE NA ABDALLA OMAR).
5 years ago
MichuziWANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
-WALIOREJESHA FOMU WAFIKIA WANNE
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Dk Shein achukua fomu za urais Zanzibar
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein jana alichukua fomu za kuwania tena wadhifa huo kwa awamu ya pili akieleza kuwashangaa wanaodai kuwa CCM hushinda kutokana na ufundi wa kuiba kura.
5 years ago
MichuziPROF. MAKAME MBARAWA, MWANAMAMA MWATUM SULTAN WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA URAIS CCM ZANZIBAR
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WAZIRI wa Maji wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa, Profesa Makame Mbarawa asubuhi ya leo 19 Juni, amechukua fomu za kutaka kuteuliwa nafasi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makame Mbarawa anakuwa Kada wa 10 leo kuchua fomu baada ya jana 18 Juni Makada 9 kuchukua fomu.
Baada ya tukio hilo la kuchukua fomu, Makame hakuwa tayari kuongea na Wanahabari.
Aidha, kwa mara ya kwanza Kada wa CCM, Mwanamama, Mwatum Mussa Sultan ...
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi walipofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui kupata baraka za Wazee wa Chama kabla ya kuelekea kuelekea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi ZEC Bwawani Hotel Mjini Unguja kuchukua fomu leo.
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
9 years ago
MichuziDK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati aliporejesha fomu za kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar...
9 years ago
VijimamboDK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akipokea fomu hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa Zanzibar ZEC Jecha Salum Jecha katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja.
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...
10 years ago
MichuziMaalim Seif Sharif achangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa zanzibar wakati utakapofika
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad,akipokea fedha taslim kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano, kutoka kwa Mwenyekiti wa CUF zoni ya Mjini Unguja, Massoud Khamis, ili aweze kuchukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar wakati utakapofika.Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akionyesha fedha alizokabidhiwa kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea urais. Mwenyekiti wa CUF zoni ya Mjini Unguja, Massoud Khamis, akimkabidhi Katibu Mkuu wa Chama hicho...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania