KHAMIS MUSSA OMAR AJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR
Kada 17 wa Chama Cha Mapinduzi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar.Ndg. Khamis Mussa Omar ajitikeza kuchukua Fomu ya Urais wa Zanzibar kupitia CCM, hafla hiyo imefanyika leo katika Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.
Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia CCM Ndg. Khamis Mussa Omar, alipojitokeza kuchukua fomu hiyo leo katika Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.
Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg....
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
Habarileo18 Jun
Shein kuchukua fomu ya urais Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo anatarajiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vI5l4JvMTZg/XvM1c3ZdTaI/AAAAAAALvPU/0p7EzyaFLxwCHiYOZLpRt5eltLppjNmFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.13.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PsbsBI70oaE/Xuyaa-g_rrI/AAAAAAALulI/M4U2XZRsPMoBxPNR5N2n0kPVujqngGOgACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B11.57.40%2BAM.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA, MWANAMAMA MWATUM SULTAN WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA URAIS CCM ZANZIBAR
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WAZIRI wa Maji wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa, Profesa Makame Mbarawa asubuhi ya leo 19 Juni, amechukua fomu za kutaka kuteuliwa nafasi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makame Mbarawa anakuwa Kada wa 10 leo kuchua fomu baada ya jana 18 Juni Makada 9 kuchukua fomu.
Baada ya tukio hilo la kuchukua fomu, Makame hakuwa tayari kuongea na Wanahabari.
Aidha, kwa mara ya kwanza Kada wa CCM, Mwanamama, Mwatum Mussa Sultan ...
10 years ago
MichuziMaalim Seif Sharif achangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa zanzibar wakati utakapofika
![](http://1.bp.blogspot.com/-1wHIke9KY-4/VUeHiVrXtVI/AAAAAAAHVRc/LwrBuoqjEBY/s640/ud2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s72-c/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
IDD HAMAD IDD AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s640/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mAkEKFjQKks/XvTLb2Xl5BI/AAAAAAAEYhs/YIdAKE6eG8Ewq3FsriYU0RQ6XWeCkAKigCLcBGAsYHQ/s640/ndg.%2Bidd%2Bhamad%2Bidd%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa UPDP Mhe. Mwajuma Ali Khamis.Achukua Fomu Tume ya Uchaguzi.
5 years ago
CCM BlogMWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo.